LAKINI KAYOLE KUNA WIZI USHAIENDA KWA
JIRANI UNAPATA TV ILE MNAONA NI
YAKO…UNATAKA KUTOA SIMU UPIGIE MAKARAO
UNAKUMBUKA HIYO SIMU NI YA HUYO JIRANI
INABIDI UTULIE TULI… í ½í¸ í ½í¸ í ½í¸ í ½í¸
Nyi ndio mnaharibia kayole jina, hakuna wizi wa aina hio kayole
ngoja hapo hapo wakuje
Bull chieth!!! NV ii ujinga ya Facebook peleka uko-------------------------------------------------->
Kayole is not that bad.
Sisi hapana tambua kayole sisi ni millionares, Admin toa hao peasants hapa kwa kijiji
U
[ATTACH=full]50484[/ATTACH]
Ongeza diameter ya kichwa ya hiyo paka to signify UPUS ni mingi kupita kiasi.
Mchoma shule! Kafanya exam ya 2nd term kwanza
Munachoma mashule sahii ile jua itawachoma mukitafuta kazi mutashangaa.
Sawa.
Mshukishe hapo kutoka kwa choo kwanza…
[ATTACH=full]50488[/ATTACH]
Hahaaaahaaaaa nice one. Beste yangu ashai kutana na jamaa ametinga ndula zake hapo corner
I don’t know why guys are dissing this. For those of us who dont visit Mukuru Kwa Bagga, it’s fani!