yole tings

LAKINI KAYOLE KUNA WIZI USHAIENDA KWA
JIRANI UNAPATA TV ILE MNAONA NI
YAKO…UNATAKA KUTOA SIMU UPIGIE MAKARAO
UNAKUMBUKA HIYO SIMU NI YA HUYO JIRANI
INABIDI UTULIE TULI… í ½í¸‚ í ½í¸‚ í ½í¸‚ í ½í¸‚

1 Like

Nyi ndio mnaharibia kayole jina, hakuna wizi wa aina hio kayole

ngoja hapo hapo wakuje

Bull chieth!!! NV ii ujinga ya Facebook peleka uko-------------------------------------------------->

Kayole is not that bad.

Sisi hapana tambua kayole sisi ni millionares, Admin toa hao peasants hapa kwa kijiji

U

[ATTACH=full]50484[/ATTACH]

10 Likes

Ongeza diameter ya kichwa ya hiyo paka to signify UPUS ni mingi kupita kiasi.

1 Like

Mchoma shule! Kafanya exam ya 2nd term kwanza

Munachoma mashule sahii ile jua itawachoma mukitafuta kazi mutashangaa.

Sawa.
Mshukishe hapo kutoka kwa choo kwanza…
[ATTACH=full]50488[/ATTACH]

5 Likes

Hahaaaahaaaaa nice one. Beste yangu ashai kutana na jamaa ametinga ndula zake hapo corner

I don’t know why guys are dissing this. For those of us who dont visit Mukuru Kwa Bagga, it’s fani!