Meria mata, Uwesmake, Luther12… you people quietly moved here mkaniwacha kwa giza. Very bad people.
Welcome alafu --------------------------keti pale
Since mama Shaito was sent to the dungeon I will say it on her behalf some ppl are generally slow!!!
Leta majina yako kamili pale Klost …alafu ndio mtihani iingie
I can’t say
Basi, u are definitely not one of us !!!
Then go back to wherever you came from
Klost iko?
Niaje @Aviator2000
That wasn’t the reply to the second one
kama ni @Atlantic ule mmoja, karibu. lakini ile ushamba uwache hapo kwa doormat ukipangusa mguu.
Hapa hatutambui new villager, hata ka alikua veteran Klist, laza kende kwanza ndio badaye uitwe.
Nyambia kiti ukooooooo~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~>
Iko extinct bro. Karibu lakini, we are many here.[ATTACH=full]53209[/ATTACH]
Hiyo Iko wapi?
Hiyo nimewacha mkubwa
Atlantic yule mmoja tu. Na sijaambia mtu anitambue hapa… asi!
Poa sana my fellow airman
Sawa. Kende chini.
Hii kijiji ilijengwa kitambo kwani ulikuwa kamiti?
sawa. zile hekaya zikuje msee. angalia hapo chini category ya lexicon na ma hekaya ujiunge katika kupeana story za uongo na ukweli.