Tupatane pale Westy ama XSMillionaires…leo ni mambo ya uptown.
I will also be going live on IG kitu 11 wakati kameshika mbaya. Its gonna be lit.
Btw…is it bad kukula chipo na chapo pamoja?
Tupatane pale Westy ama XSMillionaires…leo ni mambo ya uptown.
I will also be going live on IG kitu 11 wakati kameshika mbaya. Its gonna be lit.
Btw…is it bad kukula chipo na chapo pamoja?
TP ziko on offer ni za silk ama?
Offer za TP ziliisha mjamaa. Uko wapi leo?
nalewa mahali fulani pombe ya watu wa gava.
Hehe i can guess one or two places like that. Tusker ceder ilikuja kuokolea bana
hehe… hiyo pombe nimekunywa mara kadhaa lakini niliacha. si mbaya ata kama watu wanasema ni ya wamama.
Skip XS! Fucking boring! Siku hizi ni ya masponsor
Chapo na chipo iko on point, RWNEBP
When you go drinking ,kula nyama.achana na mashakura
Handle I follow
Si naweza slice hao masponser?
Azante ![]()
Hio ilikuwa before kunywa…lakini asante pia
Sasa mrembo…usiniambie uko indoors…ata kama ni 16degrees
Niko indoors ndani ya blanketi. Lakini kama ungenialika. . . . .
Hehe naona kama nitakuja nikujoin kwa hio blanket
in the mean time wekelea handle nisafiche macho.
Zii. Btw kama unaweza pata mushroom soup ya kuteremsha nayo utakuwa set
Hehe eeh…sasa mushroom nitatoa wapi bana…mbona hutuleteangi picha za mall huko kwa abdul…tunaskianga ni za gold
Upuuus
Umetoka thika road na bike hadi westi?