Meria is in wundanyi tonight,a place called Weruga, my first time here. Sema milima. Nikaa ile ya tour de france only difference ni barabara ni hekaya. Baridi nikaa ya nanyuki buts isokay.
Nipeni ideas wale wanajua huku.
PS: stima imeenda
3 Likes
ongea poa na @mabenda4
What the hell
Hakuna pichas?
@mabenda4 help a bro.
Hii baridi msa hakuna.
naumia
1 Like
[ATTACH=full]22434[/ATTACH]
5 Likes
Concentrate kwa sura ndio tujue kama ni mrembo
Homeground. I love that climate. Keep warm bro
Warembo watakumalisa omwami
2 Likes
Hehehe. Ningojee naja Voi kesho. Na hakuna kubeba warembo wetu bro.
Biashara ipi kule kaka?
Kwawe bonya kii kwa wadawida…madu rako…
@Meria Mata - hiyo barabara ya kwenda huko inataka dereva amejiamini