Senks bae. Ushajua bei eeh
Tunaenda wrote kununua
Lini hiyo mchumba nianze kusherehekea
Tutaangalia ratiba ikoje
Mbona kama sielewi sielewi!
Duh watu wamewahi PM ,asee
Hahaha ,Mkuu nilijua pekee yangu ndio sielewi ,we Hapo huko kwa wasap zao?
JF naona kwangu pia imekubali
Ewaaaa. Na mie 41 rafiki. Hahahaaaaa
Afadhali lakini irudi sababu tuliimiss jf yenyewe na yaliyomo mule.
Bila kuwasahau Mods wetu hasa wale wafuta comments za watu na wanaotoa ban. Hahahaaaa.
Read only
nyumbani ni nyumbani…ila nasikia tutatumia majina halisi kwa mujibu wa sheria
Senior Experts…duh!!!
Daah
Irudi mazima jamani ebu ngoja nikajibu pm za watu
Ndio ndio bae…bei si
Jogoo mmoja mkubwa
Unit 84 za luku
Heinken 4
Hahahaha
Yaan nimekutana na pm kibao ndio naendelea kujibu
PM hakunaga uchochezi ndio maana tunaweza kuchati
[quote=“joseverest, post:9, topic:164948”]
Enjoyyyyy:cool:
[/QUOTE
njoo pm bby shem[/QUOTE]
Duuh. Ngumu kumeza hiyo Kaka.