world biggest slice...

its weighs 3,000kg. [ATTACH=full]190585[/ATTACH][ATTACH=full]190586[/ATTACH]

a samich!

Hapa kenyatalk slice means something else so imi na ujuaji wangu nimefungua haraka nikidhani ntasafishwa macho na kitu kubwa

The food of chambions and cheniuses.
@hakimoto tangu uingie KTalk 1987 hii ndio post ya maana umeweka.
Diep.

:D:D:D

Slice iko wapi hapa:saitan:

ifuo

Hii wakipeleka kakamega… Wa luhya wata ilamba iishe…

Murkomen is the only creature that can bite this

Ngombe. Kipara ilikuwa imefika 1987?

Cosmas, niundie akala low profile pair mbili size 42 ulete church Sunday, service ya saa tatu.
Umbwa ii.

Saitan wewe ni wale hujiseti katikati ya pews unabelch kanisa inanuka brewery

:D:D
Nikibelch kanisa inanuka thinner.
Beer ni ya kumeza dawa.

hio kanitha ulisema inaitwa African Brotherhood C… D… E… F… G…

:D:D:D

Guok. Miguu zako ngumu zinamalisa akala haraka kama ni sponge

Diep.
Uliwacha tabia ya kuibia beggars coins na zile cracks ziko kwa kisigino yako?

Saitan :D:D ni @Chloe ako na cracks kubwa hadi zinaweza ficha enough coins for fare to kathonzweni

nilikua nimekujia coomer isweya