Work Related Stress

Today is a bad day, ran into some massive engineering issues that we are forced to relook design after promising delivery on time, haven`t allowed anyone to leave until we resolve this. Have slept for just about three hours in the last two days, how was your day villagers?

1 Like

Meru ni sidaaaa…enda hapo makutano utafute simba wells ongea na hao waiters wakumalizie hiyo stress

I`m back in Nairobi

Basi enda hapo keekorok road nairobi kuna stipper joints mob hapo au uteremke river-road huko Tahiti…Tahiti tafuta crystalbella akusort.

1 Like

Bavon, Keekorok road

Watu wa jua kali siku hizi ni maengineer?

4 Likes

wewe tengeneza tumbukiza hapo, nitapitia githaa ingine sna usalimie bwana @machangimansolo sana, hajaonekana kijijikwa muda

nitengenezee jiko

5 Likes

Utapata jamaa alifanya certificate in welding kutoka kariguini technical school, akaanza workshop ya kutengeneza drum za kuchemsha Supu huko sabasaba arafu anakuja hapa kujiita engineer! That’s treason.

4 Likes

Nitakuletea jikokoa uwache kutumia kuni wet zinafanya macho ianze kushine

7 Likes

Wewe huoni najaribu kutengenezea @wakinyonga biashara nyama isiungue kama makaa

1 Like

:D:D:D:D This is pure hate speech.

1 Like

Bwana Engineer…nipe kazi.

if u are a failure dont think everybody is like you,unafikiri kila mtu hapa ni wa kenol?

Tulia,umefikisha kazi ya kuuza nyanya wapi?

am planning to buy a lorry to ease my work,just been told mitsubishi is the best sio isuzu,

4 Likes

@sunnymango please keep your shit to yourself, you got no idea what it takes to earn that title legitimately. Am a registered and practicing engineer and you fck face should stick to your tomatoes. “Waiter,give me a beer.” Shit!

1 Like

Hustle hard…:slight_smile:

1 Like

Im sure if he were a nursery school teacher and kids were giving him a hard time at work he would not mention the nature of work rather he would just say ‘I’ve had a stressful day at work’
Tuwache hii maringo ndogo ndogo.

We are not here to justify anything to anyone about our lives, and my background is not eng I just happen to have some I work with

2 Likes