Women in Mombasa County protest over rising cases of gender-based violence.

Wanawake kupitia shirika la SautiYaWanawake wameandama jijini Mombasa kupinga visa vya ubakaji na dhulma za kijinsia hususan katika eneo la Kibarani ambapo siku kadhaa zilizopita mwanamke mmoja alibakwa na kisha kufungwa kwa reli jambo lilipelekea kukatwa miguu,na waliofanya unyama huo wako huru mtaani!!!
[ATTACH=full]85928[/ATTACH] [ATTACH=full]85929[/ATTACH]

Hauna mbicha ya kusafisha macho…

2 Likes

Hii peleka kwa news and politics

2 Likes

wee NV umepewa kiti kwanza?

Mi ni ule mgeni ukam saa saba ka kumepikwa

Ingekua interesting kama walivua nguo.

3 Likes