Why do people confuse me for a kikuyu? i hate it

Na si mara ya kwanza.

So nilikuwa nimetoka mtaa kiasi kupatana na boyz fulani mrussia anaitwa Luka. Kuna ka biz tuko na yeye. Boyz mwenyewe anaka mtaa ya ubabini inaitwa Roseneck (huko nikama lavington ya Berlin). Mimi huyo nimeingia Underground train. Nacheki ma mwoman wawili wakenya (i knew juu walikuwa wanabonga swahili). Kumbe mwomen si wa Berlin. Wametoka town fulani ya ocha ocha hapa ujeru and were visiting Berlin for the 1st time…sijui wamekuwa invited for a bash na wako huku hadi sunday. Sasa mafala zilikuwa zime lost.

Naziona zikiulizana while looking at their phone kama wako on the right route. Nkaskia wakisema wanataka kwenda Leopold platz. Nikawaonea huruma juu they were completely lost so nika intervene. Nika washow warembo mko in the wrong train. Nikatoa phone yangu ya pawa and opened an app inaitwa offi -directions (ni app ya directions ya Berlin). Nika type in location tulikuwa and destination. Nkawashow tushuke next station ndio wa connect. Sisi hao tumeshuka…tumeka chini as i try to explain which train to take…where to change and board the next etc.

Nishawasaidia…ati aki thanks. kidogo kidogo mmoja wao asks me “Wi Mugikuyu?” nliskia kumpiga RKO lakini walami walikuwa wengi. Nkamshow zii mimi si mkikuyu. Ati haiya na unaka kama mkikuyu? Alafu wanachapana ma hi-5 wakiulizana si anaka mkikuyu? zikicheka…Bahati bahati tuu simu yangu ikalia…it was Luka …akaniuliza “Wo bist du?” (where are u). Nkashow izo shining eyes i needed to bounce. Ati si utupatie number yako…

my reaction after waliniuliza number
[ATTACH=full]63438[/ATTACH]

Do i look like these pple aki? ona kwanza hio imevaa jacket…NO NO banaa
[ATTACH=full]63439[/ATTACH]

Dig for your roots. You may be @Wakanyama’so half Bro.

Seriously!!! You trying too hard.

Life is a bitch… May be the spermatozoa that sired you came from a Shinny eye
Weka picha ya smile we confirm you don’t have a chocolate smile!

Chirani kua mpole…

Sema tu hutaki nyap kienyeji juu ya kuzoea tunyanye, Luka kitu gani @jigranny

Kuhana atia mundu wa nyumba, urutite ngoima chigana.
Ni tuambiririe Hau

kwani Kikuyu wana?

Hehehehehe, ile feelings watu wameshika juu ya hii story, wanaweza kufanyia ka ule msee alikulwa na mandume mbombolulu.

lmfaaaaaaaaaaooooooooooooooooooo:p:p:p:p:p:p:p:p:p:D:p:p:p:D:D:p:p:p:p:p:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D Crawling on the floor

@Jirani ni son ya @Wakanyama na @Supu don

riu niki meni manuma uguo?

Tigana nao

ma’am ni on a light note… no thina ni guciarithio ni @Wakanyama kana guciara @Jirani ???

Your Greek is so gd my bro
Chia nyumba ti chomo

hahahhahha…nikaba njiare mburi ndimikame!!!:D:D:D:D:D:D

ndingihotana nao…rucio atia?

mwire ni “ugui biu!” (Juguma Diani, 2010)

@Supu don tigai ma!!

:D:D:D:D:D:D gotcha…