White Collar Jobs Middle Class Sasa Wanamea Akili, Sasa Ni Wakati Wa Informal Sector Kusema

Wasee wa A na A- office workers mishara hakuna ama imekatwa ikakuwa quarter. They can no longer fuel their Toyotas na Nissans which are also on loan, can’t pay rent or even feed their 3 kids Sausages asubuhi.

Maisha yamegeuka. Wale wasee wa C an C+ ndio wako na kakitu kwa sabau wanajua mashimo na wako na network mashinani.

Kwani kunaenda aje wazeiya.

Pilots na aviation Mechanics sasa wanauza miwa kwa boot za gari. Jana Pilot wa Pollmans Tours analia eti hajakuwa job for the last 6 months. Nyumba imefungwa, hana nyumba yake sasa ako hapo Rongai anauza cabbage kwa boot ya Subaru.

Wasee wale walikuwa wasee wa CU High School saa hii ndio wanavuta bangi mbichi na kukunywa Methanol kama factory ya rangi. Kweli kupita mitihani siokufanikiwa maishani. Exams za Kenya ni mambo za kushindana kumemorize. REAL EXAM NI HUKU NJE

[ATTACH=full]359423[/ATTACH]

Corona imewashika Kende with a vise grip.

I don’t think so. Watu wa jua kali wanasuffer pia juu hizo goods and services zao wao huuzia employees. Nobody is smiling unless pesa yako haitoki Kenya. If you earn from the local economy, any action Gathisha does will affect your pockets.

Na sisi watu wa where do you place us

What makes someone become a philosopher?

[COLOR=rgb(184, 49, 47)]Critical Thinking. [COLOR=rgb(0, 0, 0)](the objective analysis and evaluation of an issue in order to form a judgement. )

Which is not encouraged in our education system 8-4-4=0 maybe the new System will address this.

For example 1+1 is not always equal to 2, there are other answers to this problem.
1+1 is also equal 1.5+0.5

While packaging your merchandise at an overseas port and the only options available are 20 foot and 40 foot containers, this simple math of 1+1 comes in handy.

I work in the NGO field and I can tell you that both sides are feeling the effects of the global recession. Luckily though, I believe we will pull through coz Kenya has invested well in infrastructure.

We are much ahead of our neighbors hata mkishinda hapa mkiimba ati they will overtake us. If it’s too bad mbona watu wahamii huko? Regionally bado sisi ndo kusema.

Some stimulus in the economy especially in the grassroots, and we will be back up and running. Ama namna gani friends?

Maisha imekalia kila mtu. Ile kitu inaokolea watu wa A na A- sai ni academic writing. Kuna wenye wananukisha kitunguu uko mbaya sana

LOL @Ndindu you’re a gifted writer. Please write more posts like these. Umefurahisha wakati wa huzuni. Unemployed Architect here…only one project during covid nikubaya jo!

Never let a good crisis go to waste.

Saa hii African countries wangetumia Corona as a stepping stone to boost local manufacturing. Japan blossomed after the 1945 defeat and destruction, look at where they are today. Companies Such as Hitachi, Mitsubishi diversified after the war.

Saa hii gov. should have taken over large pieces of land in Northern Kenya and used the Overflowing Great Rift Valley lakes’ water to do intensive farming. Marsabit has millions of acres the only problem is water.

@Bingwa Scrotum is A- class of 92…

@Ndindu you are just another idle bonobo who spends hours ranting about low IQ & the Sahara desert day in day out. You are FORTY TWO years old - Jiheshimu mblatha

  1. And with a 3.32kg hunk of flesh to boot.

Umeiva kutumia software za architecture?? If yes, you can only blame yourself for being unemployed. Unda website and reach a global audience. Hiyo space haina compe sana.

That is not my field neither am I interested.

Kwani umeguzwa? Ulikuwa na A ama A-?

Mutamea akili

@Ndindu the bonobo hakuna revolution bila Baba

@Ndindu I will end you

Go Ahead

The president and his deputy are from my tribe so I’m protected from bad economy.