This thing ni hard kusema.
Ama tena nani?
?
Na
hicho ilichoandika ni Kikuyu siuo kingereza. Tatizo lenu majirani mnajifanya wakati mpo lockdown. No school, no job, no money, no flood , no ,no …mnajulia wapi nyie? Ujfnja mnsupata wapi? Your decisions are controlled by European people.
Ona. Hata Kiswahili chenyewe unachemsha. Ama pia hayo maneno nimeyabadilisha mimi? :D:D
Mambo ya sarufi ya Kiingereza nikibishana na wewe Mbong-lala nitakuwa najidunisha mimi. Kiingereza ni lugha ya kigeni. Lakini weledi wa Kiingereza wewe Mbongo-lala huwezi kutufunza sisi. Ushaelewa? Keti chini, nyamaza, nyenyekea, tukufunze Kiingereza. Wewe labda utufunze Kinyamwezi. :D:D
Pili, watoto wa shule za Kenya waweza kukaa nyumbani mihula sita - waskwende shule hata siku moja. Lakini wakiukalia mtihani pamoja na wenzao wa Bongo-lala land ambao kucha kutwa wapo madarasani, Wabongo-lala wataona kivumbi tu.