When is the right time to get married?

I need professional advise from an experienced bonobo

When you’re financially stable to take care of another human being and issues arising from such union.

w

what if im financialy stable before 20

Then you’re good to go, provided you’re willing to trade your freedom for the plantation at such a tender age.

you dont sound married

What kind of freedom na usiseme kufanya umalaya…

kwani shida iko wapi tukifanya exploration, kwani mjulus ni yako

1 Like

Umalaya obviously :D:D Freedom to change diet. Though mimi niko ndani ya plantation already.

Alaaaaaa!!

Wewe ingia planteshen unasumbua elders na hizo maswali

No problem. Kuna jamaa ambaye alioa immediately after we did kcpe in 1995. He was around 18 years at the time. SAA hii watoto wake ni watu wazima and he is just eating his money in peace. Na bado he is just around 45

Marry after you have achieved the following:

  1. Financial stability
  2. Self love, umejipenda ukatosheka.
  3. You have realized all women are the same and they only offer sex, tofauti yao ni mwili na tabia. Tafuta tabia but date beautiful girls usiokote dem anakaa kiatu mwenye tabia safi za kimalaika na pia hana akili. Hautapenda.

Do not marry kama wewe ni mtu very strict na mwenye hasira, utasumbua mtoto wa wenyewe bure. Na pia usioe bibi kisirani. Mtamalizana.

Jua bibi sio mali yako, she is a member of your team. Jijengeni.

mheshimiane shes not your slave because you are providing for her, she was not starving at her parents house. You are not doing her a favor.

Jua marriage ni kama biashara, the profit you earn is in terms of happiness and peace of mind otherwise you will suffer loses, in terms of stress. Kuwa ready kujituma na kuajibika.

If you are in your 20s wait until you are past 30. Focus on self love. Jipende hadi uji divorce.

Umalaya sio freedom its slavery.

sheria inasema ukiwa 18+ years

:D:D at 45 with kids past 23 years is a blessing. Hapo Sasa ndio unaanza ku enjoy freedom. Shida ni watoto wawe wa kidem, wanaleta wajukuu unaanza afresh.

It always looks appealing until you get in

Malizana na hio exploration phase.

hehe, thats exactly what im afraid of

Below 20 you are still immature. You lack the mental capacity to tolerate marriage things and consequent knowledge to process them on a higher level. But it is to my understanding kids wa siku izi develop at a supersonic speed.

the best time to marry is never.