Whatsapp problems

Nani ana experience noma na watsapp my text haziendi

Anyone experiencing that? Its more than 15min saii

Bundles niko nazo so nashindwa shids iko wapi?

Check ua network bars …

Everythings is Ok
[ATTACH=full]25871[/ATTACH] kama ata ktalk naeza ingia…kuna sida mahali

whatsapp inaruka mwaka, wait mpaka 2016

3 Likes

Whatsapp iko down…i think ni traffic iko mwenda imagine dunia mzima

1 Like

Vile @mollisleloaded amesema. I have also experienced a delay in delivering messages but only for a couple of minutes.

ni excitment za new year labda servers Are overloaded with everyone wishing each other new year a busy day it is

some 1 was expecting nudes na dame amekawia…

1 Like

Awa watu wambore…insrudi alafu inspotea tena

Im experiencing the same thing too… Inaboo ka fuckeen

Mimi nimeshinda nikirefresh thinking ni network ya diaspora, iko na Shida

1 Like

they took down the servers to save people from sending those drunk texts kuweni wapole

Nimesumbuka ka ghasia :D:D

Acha nikavute fegi

1 Like

Yangu iko nywee lakini ya siz ako diaspora anasema yake haiendi.

Mambo ni telegram.