How are we supposed to stand proudly in the community of Nations and scream sovereignty when we can’t even get people descent shitting facilities. Kukunia tu serikali imeshindwa kutatua and we plan to sit at the UN Security council.
Hawa viongozi wa Afrika hawaonagi aibu ati mtu kutumia choo ni luxury. There’s no difference between Kenya and failed Somalia in terms of flying toilets.
Ata choo mnataka serikali iwajengee? Kama watu hawana choo, kuchimba shimo na kujenga structure ya miti ama bricks za mchanga imewalemea, hakuna kitu wanadeserve kutoka kwa government.