:Dnyege zitauwa wanaume
sijawai kunywa fombe
One incident pale mlolongo nkiwa turnboy,tulikua tumetoka eld ikabidi tulale apo dio kesho yake gari ifanyiwe service. Mimi nkaeda kwanza kukunywa makali juu nlikua na jino inauma do itulie, kuingia nkapatana na beshtee ya mine nkamshow nataka kunguru. jamaa akanishow kam ivi nikuonyeshe, saizo zangu zimeanza kushika juu Napoleon moja iko kwa mwili…
nlipata 1st kunguru tuka agree shot 200 juu tei ilikua juu siku withdraw any dem ikaniarakisha niaje na nikatii. tukamove now kwa building ingine iko na makunguru kaa wote chini ilikua pub,1st floor adi 4th ni rooms. nkapata kunguru na tukaeda room nkakamua shot moja, ikanishow tuteremke chini nibuy chupa then twde kudoz. Kufka chini ikadai instead ya kuibaiya Tusker nibuy Quencher nkakubali. After ktu 20mint ikanishow kwanza ipeleke juice kwa room then ikam, nkamshow fine. BIIIG mistake. kunguru aikurudi nailikua na thao yangu coz we agreed bei ya whole night. nlijaribu ku trace ile roooom wapii nkasema haisuru. Nkajua apo nmecheshwo na juu nlikua nataka room pia nidoz nkaamua kupada adi 4th floor. Na apo do nilipatana na Mamayooo…story for another day.
Shait :D:D:D
Hapana tunataka story for today. Angusha hekaya
angusha heka full kaka
nay seal huyo bachelor msito nimetoka job sato saa hiyo maumbwa kastamas sato bora uko ndani ya banking hall lasima ushughulikuwe nimetoka waks saa tisa after kudoea net ya ofisi . nikaingia kwa nyumba saa kumi after kudoea nyama ya job since we had overworked CARTEL ya backoffice normally stayed late kujifanya wanahesabu pesa ndio walete voucher monday ya working late saa hizo mumekula nyama choma ya 5k but hao mafia ya mt kenya wana inflate inakuwa 10k but since you are a newbie unakula hio nyama with niceness na unarushiwa pombe tatu na ku sign kama umekunja mkia .
mimi huyo newblood damu inatembea kwa mwili nikaingia kwa nyumba na kuweka fifa kwa PS2 polepole . simu from my colleague
'niaje wankle ’
‘poa sana chief’
'uko wapi anko ’
‘niko tu home nimetulia ndani ya fifa’
'kuna bash huko nyayo kwa siz yangu nakupitia 7 tuingie huko uncle ’
’ swadakta nitakuwa tiyari baba ’
hapo nikajua leo niko sorted hakuna kuguza LACE ( very technical term only guyz in my industry will understand ) nilikuwa nimetengeneza hio siku . hapo nikajitayarisha ngangari nikavaa na kutulia . at the my friend Steve arrived tukaingia mat na ku land hapo fedha then strolled mpaka nyayo . those days nyayo was one of the serious places to lie tukaingia kwa zile stay alone houses . nje banaa magari za uzito Range , X5 and others . nikakunja mkia but nikakaa ngumu tukaingia warembo all over nikasema hapa seal tam six chaiman lasima nitoke na momo . Steve ndio huyo boy mpoa ahsaanza kuzunguka kwa nyumba kama ni yake aka ni introduce kwa dada yake . wasito wamekaa kwa viti pombe zingine sijawai ona coz nilikuwa nimezoea Smirnoff vodka
’ Stevo niwekee pombe nimezoea Smirnoff ’
’ we wacha Uwes kunywa pombe ya maana hapa ziko zote , meza double black ’
’ hapana niwekee hio yako basi ’
’ swafi ’
Jamaa akaniwekea Chivas Regal full glass , nikashangaa kwani anataka kuniuwa but since madem walikuwa nikajifanya ule mbayaaa , siz yake akaweka food tukakula . nikameza hio pombe niki struggle but after kuzoea nikamanage kumaliza . ’ hi there am Uncle Uwes ’ , ’ i am Diana ’ replied the cute momo . nikarusha waya za ujinga dem aki blush tu polepole she was taking WAIN . kuchapa gulp ya tatu ya Chivas nikaanza kufeel vi funny . chini ya maji nikaenda kwa bathroom nika puke . kurudi dem ametulia ma naija wanarushia madem pesa . nikaona kadem kengine kazuri kamevaa dress fupi saa hiyo najiona superman nikaenda nikashika rasa . dem akapiga nduru . wacha wa naija wakuom , kumbe ni siz ya Steve na host , masweep zikanipata kujifanya jet li wapi moves za movies ni kelele . nikajipata nje Stevo akakuom akawaambia waniwache , wakarudi ndani . akaniambia itabidi niishie since hapo ilikuwa noma nikasema its ok . since his cousin was going the same way we agreed we share the cab fees . cab kufika where i stayed, nili bolt nje ya gari ikikaribia kusimama na kufunga gate , ajilipie hio cab :D:D:D:D i was a real ruffian them days i hope i changed . nikapanda stairs mpaka nikafika kwa mlango kujaribu kufungua kifuli nimelemewa nikavunja dirisha nifunguwe , wapi bado siwezi . arrrrrrggggggggggggggggghhh nikasema mbaya mbaya nimechoka nikaona hapo chini ni bed nikalala hapo . saa kumi neiba akiingia akakuja akanisaidia kufungua MULIANGO nikaingia na kulala .
kutoka hio siku nilisema Chivas Regal never again wacha ikae . uzuri baadaye nili manage kuingia kwa CARTEL maisha ikawa sawa .
Decided I was old enough to drink rum,old monk to be exact,had also eaten 3 weed chocolates…long and short of it,parked the moti infront of a githurai bound bus and I pissed on it…
I dont know why I wasn’t fvcked up by the touts, could be they thought my friends and I were cops,all the same pombe sio uji
I remember that day perfectly like the back of my hand.
Nilikua nimeangukia my first job some few months after graduation.Saa end month after kulipwa kijana lazima akapatie mwili consolation.
It was a Friday na nikaamua ntaanza na kalocal round 1 alafu next round ni town.Sasa vile nilianza kupewa damu nayo ikaanza kuchemka and I started noticing some lass that was on the next table na ndume.After kumaliza fombe yangu nikaenda kwa hiyo table na nikashika huyo dem mkono nikwambia twende kwa counter,dem hakukataa.
Ndume aliona ametolewa nyama kwa mdomo and he kept his cool.Tukiwa pale kwa counter ka tunapewa ule jamaa alikua analewa pole pole,sa after amechapa machupa kadhaa akakuja mahali tulikuwa akanikelea ngumi ya kichwa.
Niliinuka na huyo jamaa nikamwangusha kwa table ilikua hapo next alafu nikawekelea ngumi kadhaa,kumbe that was what he was waiting for.Alitoa pistol akapatia bartender akamwambia amshikie alafu akakunja ngumi.The guy was a cop na sikujua.
Long story short,nilipigwa kama burukenge na nikalala ndani 4 days.
I once did this but come morning I couldn’t remember shit
Design and build at your service sir once that deal goes through for both of you guys.
@bure kabisa!
:D:D
:D:D:eek:iza kaka
lakini kwa bar na kwa jam usiwai fight u never know who is who
kumbuka ile siku nilichapa oliech ngumi vile nilitandikwa hadi ribs wa leo nikicheka sana huwa zinauma
I feel like I know the inimitable @spear a little bit more. Good move!!
Nilikuwa kiyana mdogo alafu mfuko imenona na adrenaline imejaa mwili mzima.
Vita za club niliwachia hapo
in my heydays I was da lion in my village, sasa kulikuwa na watchi mtiaji alikuwa anaitwa msakuru alikuwa anachapa maboys hata kuwakatakata wakiwa walevi,so siku moja tukiwa na boy wangu tukateremka huko tukiwa tumekamata cham kiasi ndio tumalizie na chupa kadhaa,tukafika na tukakunywa ,tukakaa kidogo tukaamua kwenda home SAA hizo ni SAA name hivi za usiku,tukanza mwendo,tukiruka mtaro Mimi nilianguka ndani naye jamaa wangu akaruka vizuri na kuendelea na mwendo ,Mimi nami nikajitoa na akili zangu zikanionyesha nirudi na huko vilabuni,makosaaa,hapo karibu na vilabu kulikuwa na video den ya mabeshte ,kuzubaa hapo sijui huyo watching aliniuliza nini, nilimuendea na kiflying kick nikamuweka down na Mimi down ,watchi aliamuka na kunikalia na kunianza na mangumi sijui aliona sihisi uchungu juu alinisimamisha na kuanza kunichapa na Chuma mguu, juu ya uchungu pombe ikaisha kwa kichwa naye watchi mwingine akamwambia awachane na Mimi,nilitoka hapo haraka mpaka home nikijiambia kama nitaamuka nikiwa sawa nitajua ni kuota,asubuhi mguu haikuwa inaweza kukanyanga chini, nilijoin special forces ndiyo nifanye revenge ,wakati nilirudi home after training ilibidi Mzee aniombe msamaha
kama dog whisperer:D:D:D:D:D:D:D
:D:D:D:D:D semeji NYS sio special forces , ni wakora tuuu directionless
he he he,wacha madharau ndogo ndogo shemeji