what's the Dumbest or brave thing you have ever done while drunk?

mimi yangu nakumbuka ilikuwa on a sato after kutoka rugby,kuwasha cheap liquor na weed.
nika amua kuenda kumeza tusker mbili baridi kwa local halafu niende kulala…
uyo sparta anajibamba bila kusumbua,nikapatiya waiter simu aniwekee kwa charge kiasi juu simu ilikuwaa imezima…after kitu 50 min nikaitisha simu nichomokee it was about 1am,
sparta nikawasha simu nikapataa ile message ya l tried calling you…
nikasema saa hii ni late sita call back will call kesho, lakini kitu inaniambia call bana iko nini

ilikuwa mzoga nilikuwa nakatia bado sikuwa nimepewa slice, nikatoka nje ya local nakucall mzoga ika pick up,nika anza ufala za walevi kuuliza kama umelala bla bla mingi
then mzoga ikanishow nilikuwa nimeboeka home nikasema nikusalimiye
apo sparta akajuwa hii kunguru inatakaa kuni
nikamshow simu ilizima lakini si naweza kukujiya
mzoga ikasema saa hii hauko serious
nikasema wewe saa yoyote naweza kukujiya
mzoga ikadai basi nikujiyee…

nilikuwa tu najuwa anastay kisimani

sparta na ulevi yake na borner uyo chukuwa matatu, uko kwetu matatu ni 24/7
matatu watu walikuwa less ikasimama sana pale kenol karibu ni lale kabisa,lakini eventually nikshuka kisimani
nikatoa simu na kucall mzoga
mzoga kushika simu namshow niko stage ya kisimani kwako ni wapi?
mzoga wa shocked:eek: ikasema thought u were joking timo,kuwa serious saa hii umekuja kisimani!

nikamshow si umeniambia nikuje tuende na wewe home:rolleyes:saa iyo bado niko na massive boner.
mzoga ikadai aki siwezi toka saa hii juu ata my siz yuko uku,Timo tutaonana kesho:eek:

:mad:kesho yani na nimekuja all the way
nikamchapa lugha nikamshow basi natakaa tu kukuona:)

akanishow apo unaona watu wa boda boda, nikasema eeh wako patia moja simu
nikapatia jamaa simu wakaongea na yeye akapewa direction,
jamaa akaniambia kalia tuende bei ni 100ksh

uyo sparta nikaruka kwa bike na tuka-anza safari
apo kwa akili nilijuwa leo nakamua

nikauliza msee wa bike uku kunaitwa aje?
akanishow uku ni Makaburini:eek:
nikamuliza mbona kunaitwa ivo, akanishow hii shamba yote ni makaburi zimejaa

apo makei kwanza ikashrinko_O
eventually nikafika nikalipa mtu wa nduthi na akachomoka, mimi na ufala yangu sikuchukuwa number ya simu yake ndio anikujiye:mad: big mistake
nikacall mzoga nikamshow niko kwa gate,mzoga akanishow nacome
apo na ulevi wangu na chill mzoga

mzoga ikafungua gate,nikaenda nikamchapa hug,mzoga still shocked akii saa hii TIMO hauko serious
mzoga nikajaribu kumconvince tuende akasema hawezi toka juu ya siz yake mkubwa bla bla mob…
apo sparta hauna vile nigekuja all the way na nirudi na bluballs
mzoga ilikubali tu kiss na nikaguza boobs juu juu:mad::mad:
akanishow kesho nitacome kwako we will finish this usiwe na haraka TIMO

apo akaniweka box nikasema ni sawa,
nikamshow acall jamaa wake wa boda anikujiye…jamaa akadai leo hayuko kazi
bado saa iyo na beg mzoga balls ni nzito atleast anitoe ile joti ya kiherehere iyo siku nilikuwa naskia sikulani AFANA
mzoga akaniguza tu makei na kunishow kesho am all yours babie:rolleyes:

nikapewa busu ya mwishow akanishow after church kesho nikugurumisha kwa sparta kama generator
nikasema sawa saa iyo na ulevi nikapataa courage kuenda hadi main road kucheki boda inifikishe stage
tukawachana na mzoga ikafunga gate…ika wisper ni call ukingia matatu TIMO
sawa;)

nilitembea vizuri na kifua hadi iyo area ya makaburi ndio makei ikashrink tena
nikaskia nywele imesimama kulikuwa kitu na sense danger, nikasema sparta wacha kuogopa makaburi
nikaendelea kutembea…
niliskia tu binja msee ame whistle mwenzake pia akarespond different direction, instint ikaniambia kimbia
ata sikuchapa meter kumi nilijiona nimebebwa juu
adam apple imefinya think walitumia mbao ama chuma… najaribu kurusha miguu hawa wengine nao washika miguu…wakanisanya kila kitu hadi viatu …nikabaki apo kama 10minz kabla niwezee kuamka,ata sikujuwa direction ni gani nafaa kuendaa…fombe ilikuwa sasa imetoka kwaa mwili…
nilitembea ivo pole pole hadi nikapatana na jamaa wa boda anapeleka mtu wakasimama…nikajaribu kuongea sauti haitoki, throat ilikuwa imefinywa kama ya mbuzi, nilikuwa na whisper kama ule dog whisperer
wakanibeba hadi stage wakinihurumia wakiuliza wamekunduka kisu ama, coz l was bleeding ata sikuwa najuwa thought ni jasho…

kufika apo stage ule msee alinibeba akakuja kuniuliza nini kaka kwani wamekuchapa pale nilikuwacha?
saa iyo tu nilikuwa na wish tu nifike kejani nilale

gari ilikuja ya bamburi ikasimama watu wa boda wakanitetea beba uyu ameibiwa muwekee mtambo
makanga akadai uyu ni mlevi hakuna kuibiwa:eek:
akalenga na akaenda :frowning:

matt ya pili ndio alikubali akanibeba hadi mtambo,
kufika watchman naye nini TIM sikuongea na yeye…nikapanda stairs
bana kufika kejani ata sikumbuki sina keys na iyo mlango kuvunja ni stress
ilibidii kuamsha jirani boy anaitwa mike
bana na yeye alikuwa na mzoga,lakini atleast nilioga na nikalala kwa kiti

iyo mzoga ya makaburini zile nuks ililetea sparta aki:mad:

Kupiga gari na mawe usiku
Kulala kati kati ya barabara
Kupiga nduru kama wazimu
Kuvurugana na kanjo pale river road
Kurushia watu matapiko yangu
Nitawachia hapo sitaki kujiaibisha zaidi

i hope hio sunday ulipiga mzoga revenge match

:D:D:D:D:D aki sifai kucheka lakini nacheka. Pole

Halafu sasa Sunday kuliendaje? Sweety alikuja ama. Malizia hekaya

i hope ulirarua hiyo mzoga na the sweetness and the roughness juu ya kukeletea swara

I was totally drunk and wasted nikaanza vita kwa mat…niliwekwa mangumi I thought I was dreaming

Ogopa mateja wa bombolulu

Thinking with the small head always leads to disaster at all times.

I’ve never been drunk.

kushikwa na na karao pale muthangari nikiwa gauge saa ya mchana while driving…i overtook a slow moving mat na karao had mouted rd block hapo kwa juction so the female cop stopped for overlapping…kunuiongelesha makosa ya pili,… ulevi while driving:(:(…karao akawa mkali sana na kuniweka ndani…bought my way out from her superiors na kukutana na yeye kwa parking nikitoa gari…kuniongelesha nikamwambia sujui ni nani hukatia yeye na hizo moods zake. to cut the long story shot nilikamua yeye following day after ametoka job:D:D

Can’t relate

uwongo!

hekaya njoo

kama unakuwa intimidated na uniform sio kila mtu ako kama wewe

Me neither.

leta hii hekaya

My fren this lessons are very important in life.

Similar script …only in high school while in nai and nimetoka kukula slices toka kwa dame wacha niseme anaitwa rey(bish nilikuwa nimesumbua mbaya) mchana kisha mbuss wa pili(hizo time walikuwa tunawaita hivyo) wa night nikiwa tei nilipata westi after kumuingiza box na ako na same name ubaya nilikuwa na lazima nifike home cuz morning sasa girlfriend mwenyewe alikuwa akam through na alikuwa mtu wakufika asubuhi niliamua usiku kuchapa mguu hadi stage ya mat -nilijipata nimeekwa tisa …kisha hawa mafala wakaingia street flani hapo na wanapishana na ambulance ya military (walinicheki na kupita tu)…kurudi kwa huyu dame ikawa ni stress ingine cuz ilikuwa esto na watchie alikuwa sijui na chuki gani na mimi kupewa slices…after like what felt like forever alienda kumuita mimi ati ningoje hapo nje na nguo zimechapa vumbi na damu…bitch naye alikuwa ame k.o haskii any…nilibaki nimepigia mse wa home wanikamie…worse though ni macho nilitupiwa na fam cuz walijuwa dame wangu(and watchie hakuficha kuwa nilikuwa sector ya kukula slices) cuz vile nilikuwa kijana…fam wakashika nare sikuwa nimewashow any + underage drinking… walimshow dame wangu next day - nimechapwa ngeta alipocome asubuhi but hawakushow kuwa nilikuwa na fanya nini…as usual akualiza maswali mingi akashuku nilkuwa natoka kwa madem…break up…ule mwingine hata sikuwa na number so imeenda hivyo …na ule wa kwanza sikuwa na feel…ended up bile mbich hivyo tu…
takayotekosayote.png…was back to square one
[ATTACH=full]158631[/ATTACH] mbich less na vile wote walikuwa wasupuu!!nilkuwa nataka kubrag nikirudi chuo but ended up nursing wounds… phone less…na kukaliwa proper…oh na dame wangu alikuwa na hio jina …wote walikuwa na same first name…

I’m very confident in life but when I drink my metabolism is on overdrive and I’m over confident. Last year during the campaigns a prospective governor has hosted different chamas and business people for mbuzi to sell his agenda to us. The setup was well done, food was free but drinks were on your bill. I was drinking double black Johnny since it doesn’t give me an hangover. So we all were having fun and MC is busy doing his thing. Its was basically open mic as questions flew from any corner and he responded. At one point I just stood up, walked to his table, side stepping his handlers and found a seat next to him, greeted him and sat. I had questions and suggestions that I didn’t need to ask on open mic. I expected he would just brush me off and I get a card or something but we talked for a while. It become a pitch and thanks to my phone, I showed him profiles, previous assignments and samples. He knew one of my contacts from the pictures and asked I call him. As I was calling the contact, he asked to buy me a drink. I told him no since my bottle was still full and I only take one bottle. He talked with the contact through my phone and he was at least satisfied I’m someone of interest. We exchanged contacts so that a brief can be sent. I then thanked him and left. Throughout that time some lady and another guy kept on trying to disrupt me but I paid no attention to them. I sat down at my table and continued with my drink. Ten minutes later he sent me 10000 on Mpesa to pay for my drink. I sent the profile the next day but eventually we never did biz. His people were the stumbling block. He lost the nomination which also meant his campaign was over. This January he called me to say he needs some work done for some other business and we are still negotiating.

this is just nasty :eek::eek:

l was mteja ata number yake nigetoa wapi?:(:frowning:

sikuwa na her number, stress sunday ilikuwa ya kuvunja lock ya mlango
fast forward throat ilikuwa uchungu ata kumeza mate ilikuwa stress nikaenda hosi nikapewa ma painkiller doc aka nishow ati ni ende xray :eek: nikasema kiroho watu wakupigwa ngeta apa enda xray kwanza kutika gachie

come monday after kubuy kabambe na kurenew line saw a text
nikajuwa ni kunguru,called her and explained to her what happened,akadai akitoka job atakuja kuniona, told her ata doki alisema 3 days rest sikuenda job,saa iyo nilikuwa hustle, by 4.30pm nilikuwa nimefunga job nakupitia chemist 3 packs mbili za durex na moja ta studded,
she came around 7pm, apo sparta ata kujifanya siwezi tembea nilidrag mguu moja nikimuendea stage…

lemmie just say she felt so sorry na l was treated kama mtu ako ICU , after kupika sappa ata news za 9pm hazikuisha nilikuwa natafuna slice
she slept kwa sparta,morning she call in sick at her workplace,tukashinda naye next day,l made sure akienda blueballs ziko dry kabisa

ufala nilifanya nikimpeleka stage nilisahau kudrag mguu :smiley: