@Okiya karibu.
While you were away:
- @Uwesmakei alibomoa kabati.
- Halafu akaua @Panyaste.
3…
@Okiya karibu.
While you were away:
Huyo must be @Okiya bonoko…
@Okiya karibu sana my friend. Tumsifu Yesu Kristu.
Nimepatana na hii kwa eastern bypass .Wacha ni iweke hapa.[ATTACH=full]193337[/ATTACH]
Okiya wa kawaida alikuwa jela ya VIP .
Nimeona hii notification nikashindwa nini inaendlea.[ATTACH=full]193338[/ATTACH][ATTACH=full]193338[/ATTACH][ATTACH=full]193338[/ATTACH]
Niaje salesman, mumeambiana na @Okiya murudi kijijini? Karibu sana…