Our economy deeps when elections approach,already we have started creating the shocks and political uncertainty.
Corona virus effects might take the better of this year,that means the impact will be spread to next year.
Little or no returns on mega infrastructure projects,financed by expensive loans which are maturing soon.
Unchecked corruption.
Finally our elections are bloody yet meaningless,lets just be a monarch.
kwani sa ii hatuko the poorest? Lorry za Tanzania zinawaletea chakula hadi wakulima market. Mahindi tomatoes na vitunguu. Uganda wanaleta mayai na maziwa na kila kitu. Kenya is yet to conquer hunger and ignorance. Kenya is the poorest country in East Africa. Mmekula mbwa na Tanzania na Uganda hawajai kula mbwa.
Sendro na Rift valley tuko na hizo vitu zote umetaja hapo. Lakini unajua vile Gatheca ameharibu mambo ya production Kwa kuruhusu cartels kuimport vitu at lower prices na pia kuwekea wakulima wetu high taxes mpaka wanaamua to give up.
@sani could it be that we have also promoted fraud and conmanship too much as a way of life. There is no dignity in farm work. Watu wanajaza matown wakitafuta deals.
Zamani I am told Kericho was one of few midsize towns with Peugot dealership because read farmers had good cash.
Ata coast (Shimba Hills, Mpeketoni, Kaloloni/Rabai) na ukambani (Kilungu and Mbooni and Kathiani/Mitaboni) na Western na Nyanza na Embu/Meru, those things are there. It is just that Kenya is a lucrative market for tanzanians and ugandans.
Yes. Buying the produce from the farmers and selling it to markets is more profitable. In Kenya the middlemen make more money than the people who do the work