@Waves Lounge

Reggae kameshika… Wale vijana wa drink moja na kudance the whole night hawapei slay queens wa reggae nafasi… Wanadance solo… Kitu sijawahi elewa…
Most reggae guys hudance mdogo.msogo solo man

Nikama wote ni team nduthi… Blah blah hii ni pombe… Ooh no hii ni ginger ale

Swali lingine mbona sijawahi ona magari parking siku za reggae?
Me na my upus fielder nimepeleka parking hapo liddos siamini hawa vijana wa kutuck inn hadi jumper, koti anything they do tuck in
[ATTACH=full]168441[/ATTACH]

kuja hapa 64 umeze gibleys on my bill

Mecho zinang’ara humu kaka. Ginger Ale ndio zangu

swafi

Ng’ombe

baba quadrey kujia gibleys

Leo hauna momo

niaje nurse

ya uthiru ama Ile ya kikuyu?

Si iko Tom Mboya st

nimeikumbuka they are several

Nitapitia hizo zingine nishungulie namna

Poa sana kwani roundi hii unadeal na 50mb uliwachana na 6 gb

Waliwacha kulipisha entrance fee?

Kuna zingine me humeza ginger tao :frowning: