[ATTACH=full]253241[/ATTACH]
The way hii nchi inaenda itabidi nihame.
with a county assembly composed of the likes of anita thumbi,you cant expect much really
Gari za Utopia hupandiwa wapi?
Pale kings cross station.
Nikweka kuku ama mbwa kwa gari yangu chini ya maji na nilete Nairobi nani atajua? Kweni kanjo watakuja kufanya inspection kwa compound yangu?
o not pass GO. Do not collect 200.
Wacha tukule hizi za cancer
Wacuaga kuwa hivyo? Sasa maswali ya mtu amechangamkia mogoka unaleta huku ya?
Utakuja tusafiri pamoja ama?
Kuku zangu zote in born town
Itabidi waluya wakarange kuku wabebe ikiwa kitoweo
Naelekea kisii kusalimia kina moraa na Marisera.
Wewe tunajua mambo zako za beating the system
Safi kabisa hakikisha ya kwamba utawakilisha kijiji to the fullest huko kwa wachawi na ukirudi utanishtua si uko na namba yangu?
Very nice. I thank God am not reading this in History books.
Wewe mzee idler you revel in putting others down ghasia hii no wonder Solo alikuchapa kofi ya coomernina.
:D:D
Kumbe ulipata wimbo jinga hii?
Platform Nine and three quarters