Watu wa transport: Why this?!

[ATTACH=full]488071[/ATTACH]

Why not? That shit is heavy as fuck

tonnage na safety manenos so priss stick to your lane

So the flat bed can only carry a maximum of two rolls of bhangi? Ni kama vile Kush yule mnono na Big Show wakiingia ndani ya Demio hawezi ingia mtu WA tatu wasiharibu gari?

Nilikuwa Tu nauliza maanake sijui

Yes, tatu itaharibu hiyo flat bed…when i used to drive nilikuwa nakaa mbali sana na gari inabeba hii metal sheets. Hiyo ikiangukia gari unakuwa dust

alafu then strictly stick to your lane priss

Kamoja ni 15 tones mjamaa. Hizo metallic strings zikikatika zitawakata shingo.

io mbili inatosha. weight yake iko juu sana.

@kush yule mnono

si

a few years back niliona kwa news kuna moja iliangukia embassava hapo airport north road ikabondeka beyond repair. Naskia ikifunguka inatokana kama blada inaweka kata kilometre mbili ya miwa in seconds… mtu aconfirm if this is true

Ikiwachana inafyeka!

https://www.youtube.com/watch?v=LcOeWmTAShg

https://www.youtube.com/watch?v=mvzVtWlvWA8

https://www.youtube.com/watch?v=jaPMu79dRwo

When we start serious manufacturing, scenes like this on our roads should be rampant.

Apart from the tonnage issue, hiyo place ni after Machinary towards Kibwezi?

Ukiangalia keenly utaona the steel rolls are directly above where the tires are

Kuna thread mahali hapa juu ya hizi cargo. Vile inafunguka kama rattlesnake.

Moja hua 5 tons sio 15
Hizo lorry haziwezi beba 30 tons

It can. I used to overload an Isuzu FVZ with 19 tonnes. This semi trailer has more axles

:D:D:D:D:D:D:D:D:D !!!