Watu wa Ngwai-Maombi yetu imesikika.

[ATTACH=full]195003[/ATTACH]

Sasa presidebt ushuru kenyatax atakuwa anavuta tu hadharani…

Ikipitishwa tu hivi nafungua shitundu den

Nani ako na shamba ya kukuza mimea?:saitan::saitan::saitan::smiley:

kangwai kanaweza okolea kenya kwa izi madeni tuko nazo mob ivyo manze Unye afanye mambo sasa

Soon, veeery soon.

hapo ume bonga point Alvo

I have 5 acres in Laikipia county I’m yet to decide what to do with. Waseme ng’wee niwe supplier wa Purple Haze