Watu wa Kayole

Ati hii ni matatu ya kwenyu :D:D[ATTACH=full]168722[/ATTACH]

:D:D Ulikuwa ukifanya nini ndani?

si poa lakini sirikali iingilie kati , siwes lipa

Nomaree:D

Savage.

Mimi ukaweka mwavuli hivyo maji ikwom side yangu…

Ndio utajua sababu mlolongo system of voting was abolished.

Shida za wakenya ni nyingi. I am sure dirisha za hiyo gari ziko sealed. Ukishuka hiyo matatu ni kama kutoka sauna ya jasho.

Mat inanyesha???

Noma siwezi panda gari mzee mimi

Hiyo gari labda a few months ago ilikuwa imechapa groundie. Omosh akapelekewa akapiga panel bitttting ikarudi squad. Sasa ona wakenya.

Too funny.

Heri basi nipande pickup ninyeshewe tu maramoja…

With the jam, maybe it’s the first mat to arrive at the stage in the last 30 minutes and it’s raining. Another day in a kayole peasants life.

watu wa kasayole,kasabuni mna mengi:D:D:D:D:D:D:D:D:D hata mtu ako kwa boat hanyeshewagi hii design

Akienda nyumbani [SIZE=1]kayole[/SIZE]

Then you get stuck in traffic for two hours. Na labda umepanga line ukingoja double m or citihoppa for another hour. Shida za city dwellers.