Watoto wanye, mzazi awapanguze mavi

Watu wako miaka 40 wanatafutiwa kazi na wazazi, na bado siku ya kureport wanapelekwa kazini na mzazi. ao watoto hawatafika zile levels wazazi wao walifika. After miaka 40 izo family zao zitakuwa zimesahaulika. Watoto wanafaa kulelewa kama wale wa mwizi wa Sugoi. Wapate D+ kama watoto wa mkenya wa kawaida. Waishi kwa hostel Athiriver Daystar kama watoto wa wakenya wengine. After miaka 40 watoto wa Arror watakuwa washajua weaknesses za mama mboga, na watatawala Kenya miaka 100.

[MEDIA=twitter]1604898993066151948[/MEDIA]

Deal na mtoi wako. Meffi wewe

wangu atajitegemea sitakuwa naspend maisha yangu ya retire kutafutia yeye kazi kama Kalonzo na Ida. Sasa next watatafutiwa wapenzi na wazazi wao

upus

Tofauti gani ya beste kukurefer kwa potential employer.

Radar… mbona wivu

sio wivu baba. shida ni kuona vijana energetic wako na masomo na potential wakikaa tu wangoje kusukumwa na wazazi kama wheelbarrow.

Kama wewe ni mzazi hauwezi wachilia mtoi wako… that’s how generational wealth is created… bure tuta pambana na Hustler fund hadi mwisho wa lami

Hakuna generational wealth hapo. Generational wealth hutafutwa na kutuma watoto kwa dunia wakiwa young wajue dunia inakaa aje.

@sani umedeenyar point awa wanalalamika ni ukweli inawauma

in all societies mahasora ndio huwachilia watoto

@sani hizi familia ziko na mali to last generations and generations.
Teaching kids to get stuff the hard is not really the way to go.
Work hard ndio wako wawe in the same situation.

watoto wa royal family huko united kingdom wanatumwa yuko Afghanistan wakiwa young wakajitengezee jina. wakijiprove wako capable wanarudi nyumbani kuwa allocated duties kulingana na capabilities zao. wenye wanabebewa akili na wanawake wanakuwa banished from the royal family ata kama baba yao ndio King.

Kando na family ya moi hakuna family ingine imefika level ya kuwa na wealth ya kulast generation to generation. Unamjua Cornelius Vanderbilt?

kijana is low-key mad at his own parents.

kwa nini? nimeenda steps zaidi kuliko zile walienda, wakati wao wa kuiaga dunia watakuwa proud

kwako politicians are the only moneyed people around.

sitambui politicians. hakuna siku nishai post kitu positive kuhusu politicians. politicians hawana pesa. wana madeni chungu mzima, na bahati mbaya wapoteze kiti, huwa wanakufa na stress ya pesa within miaka tatu.

moi’s are politicians

Hii family ya demented kîhîî Ojinga imerogwa. They killed the only son who held the future of the family in a mysterious manner. Wamerogwa maghasia

People post so much rubbish. What is this?