Water bill defaulters

Hawa ndio wamefanya tukatiwe maji mombasa county.
Why can’t mowasco go to court to recover their millions instead of making everyone suffer.
[ATTACH=full]29342[/ATTACH]
@mabenda4 Uko number ngapi

1 Like

Kwani hiyo maji ni mineral water?

Wame boycott too. Until Uwes. Meanwhile Uwes Tele…145 online!!!

Nimeona @Supu don hapo No. 120

Sweetie, kwani ulikuwa unaosha ferry?

1 Like

Budah nenda uoge kwa ocean.

1 Like

Kwani matumizi ya mwezi mmoja ni hela ngapi ndiyo mtu awe na bill ya laki kadhaa?

naona kuna balance of the last 3 years including current

How does that happen over there yet one month arrears is sufficient for disconnection without further notice?

kuna wajaka mob sana mombasa hawalipangi bill zao za maji

1 Like

I dont know nimeskia ata mauniversitiies ziko na huge electricall bills na ati wameshindwa kulipa,
na ni za mwaka

Nimeambiwa maji imekuja leo @Meria Mata

1 Like

Maji kwa wingi, Am cleaning my swimming pool now in readiness for valentines import

2 Likes

:D:D:D:D

wewe unafaa ulipe ushuru watu wa bara unamaliza treads za wanawake wetu

1 Like