Wasichana wa Kikenya Wanawapenda Sana Watanzania

Natembelea sana Nairobi mara kwa mara.
Ilikuwa mwaka jana ndio kwa mara ya kwanza nafika Nairobi. Nilikuja kwa Bus ya Dar Lux.
Kwa bahati nzuri nilikaa siti moja na Dada wa kikenya ambae alikuwa amekuja Dar kwa mchizi wake ambae ni Mtanzania.

Uzuri nilicho wapendea Watoto wakikenya ni kwamba, wako shapu na hufunguka kwa swali lolote unalo mwuliza, tofauti na dada zetu wa kibongo.

Ilibidi nimwulize ilikuaje akajenga mahusiano na mtanzania? , Ni mazingira gani yaliwafanya mpaka mkawa pamoja.

Aliniambia walikuja Tz ktk program ya kijamii, ambao ilikuwa inahusisha wanafunzi wa kule na huku. Sasa wakawa wapo field hapa Dar, na walipangishiwa hostel ambao walikuwa wanaishi wanafunzi wa Kikenya na Tz.

Ndipo alippkutana na huyu Mtz. Anasema alichompendea huyo jamaa ni kwamba, alijuwa romantic, anajali, na anaupendo wa kweli. Alienda mbali na kusema kuwa huyu jamaa ndio alokuwa mwanaume wa kwanza kumtunuku bikira yake. Dahh!
Dada akafunguka zaidi akasema kila baada ya miezi miwili lazima aje bongo kukutana na mchizi, na hata siku ile alikuwa kaja bongo kwa wiki nzima na ndo alolikuwa anarudi.

Tuliongea mengi sana, mpaka tukafika Nairobi na kuagana. Nilifikia hotelini.

Nikiwa na mishemishe zangu Ndani ya jiji, niliingia duka moja la nguo niweze nunua sweta. Nilikutana na mdada wa kikenya ambae ndie alikuwa anauza. Kama kawaida nilinunua sweta kwa Ksh 1500.

Niliona haita kuwa haki hata mbele za Mungu kumuacha mtoto mzuri kama huyu bila kuchukua namba yake. Bila ajizi wala usumbufu, nilipomwomba yule dada namba yake alinipa kwa unyenyekevu kabisa.

Kufupisha stori, haikupita wiki yupe dada nilidate nae na kujenga mahusiano. Yeye ndie alikuwa kipenzi changu kila nikija Nairobi.

Kwasasa tumeachana kutokana na dada kupenda sana ela. Yani wakenya sijui mkoje, yani mnapenda ela si kitoto, alafu ela zenyewe si zakawaida. Just imagine mtu anakuomba Ksh 5000 kama anaomba pipi, alafu simple tu.

Hiyo Ksh 5000 ni zaidi ya Laki moja. Huku Tz Ksh 500 demu inabidi ajibebishe sana, na tena aimbe kwelikweli.

Ila nilichokipenda kwa madem wa huko, akisikia wewe ni Mtanzania achomoii.

Nawasalim

fist hekaya from teezedii

[ATTACH=full]175803[/ATTACH] ni hayo tu kwa sasa mdau…karibu nairobi

I know men! Got to give the bro a “like”
Headache and swa baadaye

@General Mangi mimi mbona nime kulike mara nyingi tu au kwakua sina passport ya Kenyatta?

Twapenda rungu na hela, ata kama umetoka jehanam sisi hatujari Bola rungu iwe sambamba na mfuko utoboke.

I’m liking this Tz vybe already .:smiley:

Nakuona mama, naomba nichukue nafasi ya asprin kwa muda

Nilifanya kuleta mahaba niue kwa mtoto, mapenzi ya kifilipino na bembeleza kibao. Kumbe manzi ananilia timing, baada ya kugundua kakutana na chuma ndo hivyo mapenzi yakamshidaaa.

Kuchoshana na ujana huu, siwezi

Mamanzi wa Nairobi… Nina hamu nipate demu wa kikenya…ukiachilia mbali uwezo wao mkubwa wa kutupa makonde kwa wanaume they are very open, transparent, and comfortable to hang around with.

Where is my Wambui?

Sisi hatuna shida. Ma dame wenye wanapenda wabongolala waende huko waliwe kama aliwavyo samaki if you know what I mean. Na wakianza kuvaa diaper wasirudi Kenya. Wakae kuko huko wakinuka poo-poo.

heheheeee wana Tanzania mwatumiza na kiswahili kweli kweli

Taratibu basi mama, unakanyaga watuu!!

Hahahaha
Lol!

Ha ha ha ha na tushahamia huku sasa kuwarahishia kabisa yaan

Mzee baba, toto za kikuyu usiguse, kwanza ninjeuri afu zinajiamini kama Rais wao.

Zinakunywaa pombe hizoo, ukienda nae baa jua mshahara kwishaa

Sasa mnataka tuongee kingereza jaman si tutaumia sisi?

Kupata kiswahili kama hiki tuma kupitia namba hii 124. Ahahaha!

From Kenya forum with love.

o_Oo_O aiseeh! Wacha nikatafute kamusi Kwanza. Kiswahili changu kimegonga mwamba hapo.

Mbona nimejitahidi kutumia lugha nyepesi hiyo?

angalua mlegeze kidogo, punguza misemo. itabidi tununue kamusi unaeza mix english kiasi boss