leo morning niliambia wasee wa weke chapa zao kwa valencia …@123tokambio
niliwekelea 4k na game iko 74mins saa hii valencianwako na 3-0 iyo ni 12k kwa tommy lee account izo game zingine ata ni loose zote sijali niko mbele
wapi @wang
leo morning niliambia wasee wa weke chapa zao kwa valencia …@123tokambio
niliwekelea 4k na game iko 74mins saa hii valencianwako na 3-0 iyo ni 12k kwa tommy lee account izo game zingine ata ni loose zote sijali niko mbele
wapi @wang
Umekuwa addict tommy sasa…
Zitarudi tuu…izo pesa zitarudi pale sportspesa kwanza with interest.
Mende wewe Tommy. Rusha ka kitu bana.
its so addictive na bet hadi match za asia
@Jirani nafanya ivi after every win na withdraw my initial capital natupa mswari…then 50% ya win naweka equitel iyo 50% naendelea betting nazo
sina tamaa sana
Nitaingia sport pesa hata mimi nipate change extra
bado game mbili ya totten na man u nimebet pia…
wacha tuone vile kutaenda
Sawa. Niko mbaya saidi.
anza…nilianza na 300ksh pole pole nikapataa confident ya kuweka punch …saa hii game sure naweka 4k ka mbaya mbaya
Nikiweka minimum ya kuanza naweza pata ngapi?
anza na soo moja…
ile game uko sure bet…na soo unapataa 200ksh
ukipataa iyo unaweza bet game ingine 100
usiwe na harakaa pole pole…also follow thread za prediction…
all the best bro
welcome to your new addiction
Best rink ya predictions ama utakuwa ukipost?
tutakuwa tuna saidiana pia junkie wengine wazito wako uku
akina @the virus @123tokambio @ice cube
pole kwa kuingia kwa shida
hehe you have lost much?
Sasa pia mimi si nijoin ate MTU anafanyanga aje
ingia hapa and sign up www.betin.co.ke