Warning Graphic picture!! He had No Gun

He ha no gun with him when he was shot dead, He only had a kabambe phone. Minutes later a gun miraculously appeared next to his lifeless body. Did the police plant a gun on him? I will let you answer that question. Hmmmmmm
[ATTACH=full]63460[/ATTACH]
[ATTACH=full]63461[/ATTACH]
[ATTACH=full]63462[/ATTACH]

Yaani Mambang’a wako hadi na drum magazine? Who’s the nigga?

Mbona wanacrop hiyo picha

Hizo extended magazines inaonkana huyo alikuwa jambasi sugu.

The police say he was a robber

unfortunately anything by moha is suspect…

Lakini pia polisi ni wa kuaminika kweli? Hapa ndio mtu huhope hawakumaliza maisha ya jamaa innocent… Si unajua hata kama ni mistaken identity bado huwa wanaekelea kifaa just kujitoa kwa shit…

You say that only because he went after muthamaki

vijana korogocho ukufa like 25 a month according to moha

Hakuna jambazi hukubali yeye ni jambazi, even family members will say hakuwa jambazi.

which muthamaki and why? All i know is that as a consumer of media there are certain standards i should reasonably expect. Moha just doesn’t reach the threshold…

Kuna storo nilisoma mahali, hizo mitaa kaa Koch na Githare ufai ata kuwa unabonga au kutembea/kuhang around wasee wameekewa wanted na Masanse, wakipatwa hata wewe unabaki ulikuwa mmoja wao. Mavijana wengine hu-die vifo si zao…

Kama ni jambazi sawa, but imagine umepatana na former neighbor/classmate/buddy kumbe ni jambaz then wakipatwa… jijazie chenye kitakufanyikia…

But as usual hata your wife/kids/parents wakija kusema haukuwa thug tutasema nini?

That’s why you should know your neighbours/friends/relatives ndio usipatwe Na mtego Wa panya

Niaje Shujaa

Ndio maana polisi wengi wamelaaniwa…hust look at the pathetic life they are living…

Msuri saana Shuchaa Sponsor khandi:D:D:D

sick drum… bet it plays a phat beat

Forithi ile instance wanaeza ua mtu innocent ni either apatwe na stray bullet ama wawe rogue cops wamelipwa kunyamazisha mtu. Lakini 98% of the time hao majambazi huwa wamepewa ample warning. Ile mpaka wakubwa wa forithi wanatake time from their busy schedules kuenda ocha kwenu kutembelea mamako. Mamako anawapikia chai, wanasip hio chai wakimwambia “Mama, siuambie huyu kijana wako awache tu hii maneno. Kazi ni mingi, hawezi kosa ingine. Hata sisi ni wazazi, huwa hatufurahi kuona mtu akizika mtoto wake. Lakini vile huyu kijana wako anaendelea, itabid. Itabidi imagine…”
Sasa mtu akikosa kuskia, si ni ndengu tu atalishwa? Moral of the story: forithi are too busy to follow and shoot dead random, innocent people.

Nimejua wewe ni fossil

True Story.
Saw it happen githurai 45