Jamani si jambo la heri kuja huku uhamishoni na kumwaacha mganga wetu hatutakuwa salaam.
Mlio Karibu naye akina shunie na wengineo mwambieni Mr and Mrs kwamba tupo Kenya baada ya kufurushwa kwa Pombe.
Hahaaa. Wote washatia timu mbona.
Daaaah ukimbizi ndio umeanza rasmi
Wamekuja na IDs tofauti au?
Khaaaa! Iyo user name
Ngoja nimwite @Demiss njoo huku mdogo wangu.
d
duuuuuuuuuuu hyo id yako hatar
dada karibu ukimbizin
Hahahaa. Ahsante sana mdogo wangu. Ila umejua kuwahi kufika bana.
Nilikumiss jamaani. Mzima weye?
h
hahahaaa nimewahiii mapemaa nkamkuta mwifwa mwenyew mzee baba nkamwambia mlete dada yetu uko ntajua atakua kaboreka anavopenda kuchat
nimekumiss pia sana…tumekutana tenaaa
Hahahaaa. Acha kabisa mdogo wangu. Kiukweli jf haichoshi kabisaaaa.
Hakika mdogo wangu tumekutana tena yaani mpaka tunajiona kama tuko nyumbani. Hahaaaa.
Nipo dada sna rahaa huku nina week sna rahaaa
mi memmiss Behaviourist - ana udaku fulani hivi amaizinnnggg…thou yaliyomo yamo, the list na beira wazee wa makavu live
na hearly
cc @Smart911
Duuh! Pole mdogo wangu nina imani tunakoelekea itapatikana Insha Allah.
Rafiki nakusalimia tu mie! Hahahaaaa.
Asante sana rafiki nafurahi kukuona tena ugenini mwanakijijii mwenzangu
cc @Smart911
Usijali rafiki. Nami pia nafurahi kukuona rafiki ake.
Hyo ID mkuu umetisha
Heeh! Uliwahi siti
M
kuu nikupagawa kwng tu!! Yani nimeshindwa kuja na ID yangu ya JAMIIFORUMS TANZANIA . Ugenini