Wanaume na vitambi kubwa wanapiga line hapo Odeon wakule chips ya 30bob banae

Hata afafhali mtu akae njaa ama aende akalalishe mwili hapo jeevanjee. Wanaume wengine nikama hawajipendi. Mans anapeleka kiyambis pale Odeon kwa chipo ya thate bob banaa.
[ATTACH=full]235689[/ATTACH]
Leave such nonsense to college kids and mwomen banae.

Alafu akiwekewa njiva anashow the guy serving ati ongeza kidogo boss…Saizo anaweka jam kwa line pleading for more njivas na saizo ni kijibaba wa watoto wakubwa banaa.

[ATTACH=full]235690[/ATTACH]

I can only imagine @Mathaais

:D:D:D:D Wasee wa Sonford na Chipo za thate walikufanyia nini jamani?

Mara ya mwisho niliona paper ya brak kulikuwa twenty sigisteen

Afadhali mtu uingie kibandaski uitishe loaf na chai
[ATTACH=full]235695[/ATTACH]

Afadhali ukule madodo chapati na uteremshe na mug ya uji. Ama namna gani @Panyaste?

:D:D:D:D:D,@digi Ni “local” base yake

:D:D:Dthe day you see me in such joints, that’s the day Jesus christ returns during the day. My dignity can’t allow

ferk ktalk sentiments,mimi nitakula chips mahali yoyote inauzwa hata pale kibandaski

Seconded

ziwe za kfc,artcaffe,javva,zote zina callories

junk is junk…ni viti na waiters tofauti na maybe cutlery

tema hio mate my fren. Dunia ina mambo. Mnadhani ni kupenda ndio inatuma wakule huko?!