Wanangoja Kupangwa

Raila
Kalonzo
Mudavadi
Kituyi
Kenneth
Gideon Moi ( the richest man in east africa)
Kivutha

ao wote hawajui nani atakuwa candidate. wanangoja simu kutoka kwa Uhuru waambiwe wewe utakuwa ii, na wewe utakuwa ile. Yet ao watu ndio wanataka kusimamia majeshi yetu, na hawawezi amua chenye watafanya na kufanya chenye wameamua.

We don’t know what Ruto will do either

Politiksh tuliasha, anywayy lazima watu wapangwe ndo order ikuwe!

THREAD CLOSED

Is gidi really the richest man in east Africa?

He is. Sudan ilikua nono enzi za babake

Mimi sitapigia MTU yeyote kura. Hiyo siku nitaamka SAA NNE ya mchana niende Kwa butchery niagize kilo moja ya nyama fry kisha ninunue mzinga wa red wine nikunywe mpaka jioni. Kisha niende nilale nikingoja kuona mlichagua mwizi gani atuongoze.

Pigia MCA angalau fathela

Sigwesi

Only because it is assumed he was Arap Nyayos favourite son, so he ended up with the biggest share of Arap Nyayos loot which is huge.

Richer than Uhuru ( and family)? All that hundreds of thousands of stolen hectares. Enough to build several airports as large as Doha International.

Kenyatta family ndio saa ii inajikaza ikuwe level moja na Moi family. Lakini itawachukua muda. Pesa ya Moi family ni mingi haiwezi toshea kwa mashamba na buildings