Wana JamiiForums chukueni tahadhari na huyu Member ' GENTAMYCIN ' ametumwa ' kuharibu '

[FONT=courier new]Kwanza nianze tu kutoa pole kwa wale ambao mmepatwa na usumbufu juu ya hizi ID’s mbili. Kwa wale wana JamiiForums wenzangu ’ Brand ID ’ yangu ni GENTAMYCINE na siyo hii ya huyu ’ Popoma ’ iitwayo GENTAMYCIN. Labda niwataarifuni tu ya kwamba ni mapema sana leo ’ nilitonywa ’ na Mtu wangu muhimu kabisa kwamba kwakuwa JamiiForums imehamia huku Kenya na kwakuwa ’ michango ’ yangu kule JamiiForums ilionekana kuwa na mashiko, tishio na kukubalika sana kiasi kwamba najulikana na kufuatiliwa ’ Kimaudhui ’ na Watu wengi kuna Mtu mmoja ataharakisha upesi sana kuja na ID hii na ataweka hadi picha ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ( ambayo hupenda kuitumia ) ili aweze kuwachoteni akili zenu.[/FONT]

[FONT=courier new]Kuna wale Watu ambao mlikuwa mkiwaulizia Watu ’ wasiojulikana ’ ni akina nani basi leo naanza kumtaja mmoja wao kuwa ni huyu Member aliyeigiza ID yangu na kujiita @GENTAMYCIN na nilipomshindia na kumuweza ni pale ambapo ID yangu mwishoni inaishia na herufu ’ E ’ nikimaanisha ni GENTAMYCINE na hata katika Social Platforms zingine najiita Gentamycine Antibioutique.[/FONT]

[FONT=courier new][COLOR=rgb(235, 107, 86)]TAHADHARI.[/FONT]

[FONT=courier new]Huyu Member @GENTAMYCIN ni ’ asiyejulikana ’ kwa 100% na amekuja humu ’ Kuwahadaeni ’ hasa Members wale tuliokuwa kule JamiiForums ili mjue kuwa ni Mimi GENTAMYCINE ’ Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ’ ili mjitusu / mkosee muwe mnachangia masuala ’ Nyeti ’ ya Tanzania kisha aweze kuwaombeni Urafiki halafu ’ awategeni ’ nanyi mkaokotwe Baharini mkiwa hampumui tena ( nadhani hapa mmeelewa namaanisha nini )[/FONT]

[FONT=courier new]Mwisho nikuambie tu Wewe ’ hopeless ’ @GENTAMYCIN kwamba hata ’ uigize ’ kila kitu kutoka Kwangu Mimi GENTAMYCINE bado hutoweza kuwa na uwezo wangu mkubwa wa mambo mbalimbali niliyobarikiwa nayo na Mwenyezi Mungu. Najua huko ’ Makao ’ ninawateseni mno ndiyo maana mnahangaika kupambana na hii ’ Brand ID ’ yangu kwakuwa mnaijua inavyokubalika, inavyoaminika na inavyopendwa na wengi.[/FONT]

[FONT=courier new]Kitendo chako tu cha ’ Kuniiga ’ ID yangu kuanzia Jina hadi Picha kumenisaidia leo kujua kuwa ama kweli GENTAMYCINE wa JamiiForums ni ’ Kiboko ya Jiji ’ na ni ’ habari ya Mjini ’ kwelikweli. Nakutuma unifikishie huu ujumbe kwa waliokuagiza kuwa mlipoamkia nyie leo Mimi nililala huko juzi halafu siku zote Nyoka huwa hazai Panzi bali Nyoka huzaa Nyoka na Nyoka anayezaliwa huwa ni ’ hatari ’ kuliko.[/FONT]

[FONT=courier new]Kwa wale wana JamiiForums nimeshatoa tahadhari Kwenu kwa huyu Mtu hatari ’ asiyejulikana ’ aitwae @GENTAMYCIN hivyo kuweni nae makini na Mimi GENTAMYCINE sihusiki nae kwa lolote na chochote na katika ’ Kuwazugeni ’ atakuwa anajifanya anaandika Kiswahili cha ’ Kikenya ’ ili muingie ’ mkenge ’ Kwake ila ni Mtanzania mwenzetu na yupo ’ Makao ’ na ameianzisha hii ID kwa ’ Kazi Maalum '.[/FONT]

[FONT=courier new]Nimemaliza.[/FONT]

[FONT=courier new]Nawasilisha.[/FONT]

Sawa

Asante mkubwa

Poa poa Umekuja na ID zako zote?

[FONT=courier new]Maswali ya ’ Kishoga / Kutambaliziwa ’ huwa siyataki tafadhali sawa? Tena usinitafute kabisa kwani bado nina ’ mihasira ’ yangu na TCRA halafu na Wewe unajileta tu shauri yako. Sijabadilika na nipo vile vile nakupokea kadri unavyokuja Kwangu.

Nimemaliza.[/FONT]

Mimi mtu akiiga mwandiko wako tu najua.

duu hawa fisi ni shiiiida.

Sawa POPOMA Uliyetukuka.

Nasubiri kombora utakalopewa

Mkuu ukiona hivyo ujue umemkosha…
Mwambie akuje nimpe kazi…

Kazi ipo. Nasikia Magu naye yupo humu na ID fake. Yule Muhutu sijui anatutafuta nini!

noma sana

Sawa mzee wa Chai

Asante kwa taarifa

[FONT=courier new][/FONT]
[FONT=arial]brand my foot???[/FONT]

[FONT=courier new][B]

[/B]

[FONT=courier new][/FONT][/FONT]
[FONT=arial]inawezekana @GENTAMYCIN ume ianzisha ili uje ujipongeze kwa namna hii[/FONT]

[FONT=courier new]

[/FONT]
[FONT=arial]Kwa maoni yangu Ungeweza tu kujisifia moja kwa moja na kueleweka bila kupitia mgongo wa account yako ya @GENTAMYCIN [/FONT]

[FONT=arial][/FONT]

aiseee

Noted

Aisee

[FONT=courier new]Siwezi kukulaumu Wewe juu ya hili bali nazilaumu sana ’ Shahawa ’ chafu za ’ Babaako ’ zilizoingia pia sehemu iliyo ’ Chafu / Mbunye Kunuka ’ na zikahifadhiwa kwa miezi Kenda / Tisa kisha ukazaliwa na Wewe ’ Mpumbavu Mchafu ’ ambaye sasa unatupa tabu Sisi wenye ’ akili ’ zetu hapa Jamvini.[/FONT]

[FONT=courier new]Mtoto akililia Wembe mpe na nashukuru umeulilia Wembe kutoka Kwangu sasa ndiyo nimekupa huo ili uhangaike nao na ukukate vizuri.[/FONT]

Naona umetaka tujue uwepo wako.
Karibu