Wamekataa Ujinga

Wangemsindikiza na mawe

https://x.com/PropesaTV/status/1884941734171353306

5 Likes

Nice! This is the attitude we want, wakenya wanamea akili sasa…
Hizo ni doo za tax payer. They should channel that money mahali inafaa.
@Ndindu will definately love this.

6 Likes

Hivi ndio inafaa! Let the corrupt pastors continue receiving brown envelopes from Kasongo

2 Likes

Piga hiyo mbwa mawe, bloody fvcking

4 Likes

Watu wakatae handouts kabsaa and demand for good roads, well equiped health facilities na kadhalika, utaona hizo takataka (politicians) hazitafika kwa ground. Na msee akilete ujinga mawe na gari inakuwa set ablaze…
Western na Nyanza walikosea wakenya last few weeks. Sasa hii ndio game. Ghaseer zipeleke pesa kwa kanisa, na pia huko zimulikwe sawa sawa. I hate politics…development ndio tunadai tu

2 Likes

Finally Kenyans are evolving from Homo Habilis to Homo Sapiens

3 Likes

Who can confirm if its any money they rejected or its the Ksh 100/= each they rejected ?
What if it was Ksh 1000/= each ?

2 Likes

Hawapeanangi 1000 each

2 Likes

Wamama hupewa hata chuani…wanasifu jamaa.

3 Likes

…chwezaaa,upgrade hii sheng’ yako bro…

3 Likes

Chwezaa ndio ilianza back in early 90s…it’s old fashioned sheng.

…ulijulia wapi na haukuwa umezaliwa by then?

1 Like

Kaka, mimi nimekula salt.

There is a sheng dictionary somewhere online that can be referred to.

Still a step forward, making it very expensive for the politician.

1 Like

…hehe,bado weh ni kijana kama nyakati za bomb blast ulikuwa class 6…

1 Like

Ukicheki hizo miaka sio chache, more than a third of a century

Na nich ni which era of sheng

1 Like

2014-2023