2 Likes
Dawa ya deni ni kulipa.
Hapo wana sacco walikula mzuri.
Gari ya 10M hata ka walipata muteja ya 2.5M. Bado ni faida kwao…
Hayo kando, mbona sacco hawakuchukua shares zake. Kumaanisha ni wezi.
Gari ya 10M ni gani kama sio V8?
2 Likes
FH na FRR
1 Like
Watamlipa elder. I’m sure they didn’t follow the proper repossession and auctioning procedures. Atafute lawyer wa maana. Watakamua that institution sawa sawa… now that ishafika online
Auctioneer atauza 3 million na alete Sacco just Chenye umedaiwa or less , hakuna wanasacco wamekula anything
1 Like
Majambazi sana