Wamama

Mih nauliza tu, hapa kuna mumama anaweza taka ka ben 10 hivi🫣. Kama kunaye drop i’ll engage…

2 Likes


@TrumanCapote or @KuwaitBabe take your pick

6 Likes

Hehe, Uliza @rexxsimba ama @Silverback83 hao wanakuanga na wamama wamekula chumvi kiasi na wanaeza ku connect usaidike vile unadai. Mimi utanilipa tu ya consultation fee, Paybill utapewa na kijana ya mkono kaka @cortedivoire.

1 Like

Yuko. Jina Ina Anza na K

1 Like

Ushamjenga paybill ama hutaki mkwanja ukatoe kutu pale calabash?

This topic was automatically closed 365 days after the last reply. New replies are no longer allowed.