Luhya men exchange wives, lakini mmoja amecatch feelings anataka wake arudishwe
[MEDIA=facebook]id=232530967421442;type=video;user=lovelypookiewookie[/MEDIA]
Wife swapping iko hapa Nairobi and you know, tuko tu sawa.
Inakuwaga solo gani?
WTF?
Real Wife Swingers of Kakamega
Jana NTV kulikuwa na stori ya mkambodia ako na two husbands.
Hawa akina vuja deek ni ovyo sana, how does a sane man get into such an arrangement.
And then to rub salt into injury the woman says her only mistake was to settle for two poor men.
Wewe ukiona kalozo yeye si pia hudai wako Naswa and it’s still alive!.. Akingoja endorsement from Baba… Ni kaDNA msee!
Aliskia hiyo grip sio kama ya khupipi yake.
So how does this work for the women? Your hubby just comes home and tells you “mama Wekesa, kutoka leo wewe ni khupipi ya wepukhulu yule wa potapota, sawa?”, and you just say “sawa papa Wekesa”, pack your stuff and go to your new home?
Figsd
heheh,hii thread ni ya waluhyia hebu wachaneni na sisi wakambodia
Mkamba akikunyima labda hakuskia swali
Saina agreement
Kamakhuwa ako si
:D:D:D That woman knows her worth. The men do not know their worth.
Tembea Naivasha ulizie private parties za wife swapping. Kuna watu wako na fetish za kuona mabibi wakichapwa vitu.