Presenter: “Patanisho FM, hello?”
Caller: “Hapari ya asupuhi Maina?”
Presenter: “Niko freshi anko, tuambie majina yako pamoja na eneo unalopigia kutoka”
Caller: “Naitwa Dickson na napika kutoka Vihiga county.”
Presenter: “Boss, kwani uko na jina moja kama ng’ombe? Tafadhali sema majina yako kamili.”
Caller: “Naitwa Dickson Barasa @Josto_Bwaku ”
Presenter: “Karibu sana kwenye kipindi cha Patanisho bwana Dickson Barasa. Tuambie, unatafuta mwanamke wa aina gani?”
Caller: “Matiti zikue chonjo.”
Presenter: “Haya bas tuko na simu imeingia tebu tuone kama umepata mpenzi. Patanisho FM hello?”
Caller #2: “Maina, mimi naitwa Strawberry Shindishindu @Straw_man , napiga kutoka eneo la Bungoma. Naomba unipatanishe na huyo Dickson Barasa.”
Presenter: “Karibu sana Strawberry @Straw_man . Tafadhali tuma picha kadhaa za matiti yako tuone kama yatampendeza Dickson.”
Caller #2: "
"
Presenter: “Salaaale! Ziko timam kama embe dodo! Dickson tebu toa maoni.”
Caller: “Maina, karipu nikunie kwa kiti ya pikipiki yangu kwa sapapu ya furaha.”
…


