I got trust issues. I’m a man capable of wearing all three condoms in a packet at once.
You see growing up, my mama used to tell me, ‘wewe kimbiza tu waschana hapa lakini siku utapata ile ugonjwa kubwa (HIV/AIDS of cos) usiogope kumeza dawa, utameza hizo dawa pekee yako na usisumbue watu hapa wakuanike hizo mifupa zako nje uote jua’
I know no one knows what will kill them but Mimi husema better safe than sorry wakubwa. Asanteni wote including #TeamDryFry
ukimwi ina tiba. mbona utumie Condom alafu uangushwe Na cancer?
Mimi kama ni dwy fwy lazima in a marriage set up with my wife only, akiniletea ugonjwa it means there was no way I was going to evade it
very true
ulipata ukimwi ukapona ama?
Niko hii group.
Ambia waiter akuongezee kile unakunywa kwa bill yangu . :D:D:eek::eek:
hapo sawa
[SIZE=1]Mimi niko team absteinance[/SIZE]
[SIZE=6]Ati team what?[/SIZE]SIZE=1 :)[/SIZE]
aka team Kawasaki. pia ni sawa tu bro. I feel you
I believe Kawasaki is unGodly
page gani pale kwa bibilia
Naskia kule kiambu uliuma kabufallo dwyfwy hkm
Actually, it’s more expensive and painful to manage cancer than HIV-AIDS.
Still, RWNEBPORK.
Wish!
Enough with this already!
Ati bufallo hkm :D:D:D
Are you knew (sic) here? No thread is complete without the name of baba being invoked.
:D:D:D:D
Ama mbegu kama wasee wa Mathare??