Wala ugali...

…mbona hamuku-post kwamba serikali na wasiaga unga jana walikubaliana unga kilo mbili usizidi 75 bob? or the announcement does not suit thee popular whining narrative? Nina tinhat na body armor …

Saa Hii ni Obado/Monica/Maribe ad nauseum, give it a few weeks then whatever you brought up might be considered.

Wow thats a great move…

Ngoja uone ma broker watafanya artificial shortage ndio utajua serikali ni pararira. Hawawezani na ma cartel

Pararira ni zile mahoni za mat za Githu?

:D:D Vuvuzela.

Lazma niende border county na Bale ka 29 ni pewe homecoming

Ni kwa muda tu

Si busia ndio mnauza gorogoro 25bob kama kutupa?

Umenona sasa Nyako

Hi @Lola-

Nilikuwa nimeenda MIA ktalk juu ya njaa huku kayole

Hata VAT nimesahau thanks to maribe and obado

That’s why nimesema Bale…ya packet villager’s hukula tu kwa matanga za walimu na head teacher

Hi …how you?

Kwani @uwesmake haleti chakula nyumbani na ako na Factory a.k.a Kisiagi

Uwesmakes humaliza pesa Harrys tavern na malaya wake

Niko na mahindi yakutosha kwa gala hadi naona ikiharibika in other news mahindi ikipungua Kenya kitunguu inanogea huku place niko job, details sipeani.

Google awasa iko wapi ,mahindi imejaa Kwa stores inangoja kuvuka.

Umeingia leo na ile ufala yako