Wakuu pombe sio chai,tunywe kistaarabu

[COLOR=rgb(85, 57, 130)]Nipo maeneo flani apa dar,kuna kijana kadhalilishwa sana.Amekutwa amelala,yupo na suruali ya jinzi ikiwa haina mkanda.Kavuliwa kwanzia boxer,viatu mpaka vest.
Jambo la Kusikitisha,kafanyiwa kitu mbaya sana.Na inaonekana na watu wengi,sababu kondom zipo kama 5 ambazo zimetumika na nyuma kwake kachafuka vibaya.Mpaka sasa akili yake aipo sawa alikunywa pombe nyingi sana.

[COLOR=rgb(85, 57, 130)]Anaonekana kijana mstaarabu around 28s,kwa kweli anatia huruma sana.Watu ndio wanampeleka serikali ya mtaa kwa msaada zaidi.

[COLOR=rgb(85, 57, 130)]Wakuu tunywe kistaarabu

Sawa

Usinywe wala kuikaribia wala kumpa mwanao jina la pombe yoyote asije akabehave kama mlevi ukajuta.

Mkuu Hata jina kumbe lina madhara ndio maana Hata lile kubwa Lipo hivyo

Pole yake sana… kavunjiwa mayai…

Cc: @Mahondaw

Weka picha

Jamaa washambikiri tayari, hatari sana kweli we have to drink responsibly!

Aiseee

Picha amna mzee wangu

duuuh dunia imeishaa

Lipi hilo?

Pombe kupita kiasi sio nzuri,sasa uamuzi ni wake aache kabisa kunywa au aendelee kulewa tena kama alivyolewa…

Amezoea hiyo kawaida yake

Cha mlevi huliwa na mgema

Wacha wanywe kizembe madomo zege wafaidi

Kubwajigalamagogoni

Pombe aka chibuku

Aisee dunia iko ukingoni watu wanawaza kufira wanaume wenzao mpaka wanavizia wakiwa tungi

sasa mbona unapindisha maneno…
Sema amefir.wa na jamaa sio chini ya watano maana kama kondom 5 inawezekana ziliisha wengine wakala dry.

Kakosea sawa kunywa pombe hovyo hovyo, ila nasi wanaume tumekuwa na nyege za kuku mpaka tunafanyiana unyama wa ajabu kama huo?!
Kweli vijana wa kiume wa Dar ni domo zege, wapenda mizoga, na mashoga…