Wakubwa

Wakubwa wameoa, Hebu kujeni hapa kiasi, Now it’s 2 months since huyu kienyeji wangu awe PG, She can’t stand ile smell ya kitunguu! Now we both on holiday kila siku mimi ndio kukaanga kitunguu and all meals yenye inahusu kitunguu et al, Huyu kienyeji wangu ni uvivu ama hio ndio the trend kwa wenye kepewa 10’holds and above, @ Doc luther karibia kiasi…shukran…Elgin.

Ni ukweli, sahi sense of smell yao iko heightened:Dwangu huwa ananishow mpaka anaweza feel jirani akiwa kwa loo

bibi yangu alipofika 6 months na sanchez , hakuweza stand smell ya pombe nikikuja home mlevi ilibidi nalala kwa guest room , but nilikuwa nimetoka kukamua nyoka so haikuwa issue .

Boss, utalijua harusi! But isorait ! A friend I know “mimba” couldn’t stand him!

Yaani bado mnaoa?

Kama VS amesema ni kweli ni sawa…huyu karibu nitume kwao.

Yea tunaoa nilisema mateenie wakae kando…acha kutusumbua.

Kuna Huyu wa jirani yangu alichukia bwanake hadi akataftiwa mngine wa kushikilia.

But usisahau akina njeri who will take advantage of the being paged for whatever end…

Kuna mwingine alikuwa anaambia bwanake ananuka sperms. mwanaume akiingia kwa nyumba wife anaanza ku puke, kisa na maana… jamaa ywanuka manii.

Wangu ni wakanesa…Njeri siwezi oa…afadhali nikae bila…am a greek FYI

hehe, weh hunifurahisha anko…

@Elgin unamwita kienyeji nikama hupangi kumwoa… hope hutatumia hizo drama za mimba kumwacha

that’s a new one…

hata hivyo teacher ni ukweli hata mimi wakat wa first born tulikula boilo kwa muda…
au wengine ukivua shirt yenye majasho anaivaa kwa mapua kama @culture na pantie…

Shida tu then anapatwa na post natal depression.

Ngoja ile siku atahamka 2:00 a.m. adai mahindi choma.

:D:D:D Hapo unamsho akaange unga ya ugali kama njugu

Ataamka kasee, Ni kyao we! hehehe safi bro lakini…wacha nivumilie huyu msichana wenu…mtamu kweli…siwes regret.

Kuna mwingine hutafuta miwa saa mbili asubuhi for breakfast.

Huyo wakanesa ni wetu sote.

hawapendi kuitwa wakanesa…ama aje @Chloe ?