Ni ishara mbaya sana hii. Leo sisi ni wakimbizi wa kimtandao ila kwa hii hali tujiandae kwa kuwa wakimbizi halisi.
Naomba ndugu zetu wakenya mtupokee japo tuli wasimanga na kufikiri nyie ndiye mtakua wakimbizi,kumbe sivyo.
Wakenya mume wapa wasomali kambi ya KAKUMA siju na sisi wakimbizi wa mtandaoni mtatupa kambi ipi? au kuna kambi ya KAMBOr…?
Yako vyema kikubwa ni kujichanganya na wenyeji na kuendana na utamaduni wao, kadri muda unavyodhidim kwenda na wewe unachomeka utamaduni wako itafika kipindi kila mmoja kaelewa utamaduni wa mwenzio na mamboa yanakuwa sawa