Habarini wanatalk,
Kwa mda mrefu huku Tanzania wakenya wanachukuliwa kama watu matapeli,wajanjawajanja,na watu wa kutumia fursa sana! Huku Dar es salaam wakenya wapo wengi ila wengi wanaishi kiujanjaujanja sana,usipokuwa makini wanakuliza mda wowote! Hebu tusaidieni ninyi ni watu wa aina gani.hasa??
wasalaam
Tembea Kenya and decide for yourself
wewe unawaonaje?
chairs please . Some gentlemen scramble some chairs for a visitor
Have ever bn conned by a kenyan? I think not!! Wewe hauna tafouti na hao washenzi waliokumbia wakenya ni matapeli kazi ni kuropkwa … bure kabisa!!
Usingoje kuambiwa. Tembea ujionee.
http://www.magicalkenya.com
Mdau keti paaale------------->
Kuna categori ambalo linajiita jamii foramu.Hapo ukurasa wa nyumbani.Utapata wantazania wenzako wametoka jamii foramu. @Mwifwa kuja elekeza huyu huko.
Na siku hizi kazi ya Jeshi la Polisi wa Tzedi kazi yao ni kuwafurusha wakenya on flimsy reasons, bado hujawaonyesha mahali hao wakenya walipo?
Na hii ‘kiujanjaujanja’ ndio kuishi namna gani? Ebu fafanua kwa kina…
@gashwin I like need a 411 class lesson on this Tz swahili shiet… Nobody warned me I had to read like three times bro! to get the on and on by the newbie thread. @admin can we get like some translation… Like the ones on documentaries about some African place… The guy is talking English but you find subtitles for white people to understand what them niggas are saying.
Hawa wabongo wanasumbua…
tuko vivo hivo mnavyotuchukulia huko. kuwaibia lazima
Huku Mombasa wabongo wengi, Ila wengi wanaishi maisha duni. Yani nyie watu aina gani?
Mtapeli-watapeli
Hoho ameanza kusafisha huo mji kwa kutoa takataka sana sana pale mwembe tayari.Kunakuanga na uvundo kali sana.
Wakenya ni watu wa aina ya watu wenye [SIZE=5]HAWAWELEWEKI.[/SIZE]
Hii kuishi
Hii kuishi na kupata pesa kwa njia zisizo halali
Take several seats
http://cloudfly.us/wp-content/uploads/ecw-chairs-in-the-ring-on-make-a-gif-ecw-chairs.gif
Kaka hiki kiswahili mbona kimenyooka
Ipo poa tuu mbona kaka
Aisee Mademu wa KE hawana WOWOWO (MSWAMBWANDA) wamepigwa pasi aisee kama wale MAKANJIBAI wa K/KOO