wakanyama's new branch in thika

[ATTACH=full]49034[/ATTACH]

1 Like

Na vile napenda Mutura bana. I could have it for breakfast with bread.

1 Like

upeasant ndio uko nayo mingi sio kupenda,brare shaitan

1 Like

Hiyo mtura ilikuwa ya mbwa mla paka.

1 Like

hio nyama ilikuwa ya mnyama mgonjwa,ya mbwa watu wamekula

2 Likes

Niliambiwa ati mtush hutengezwa na nyama chokosh wameokota kichinjio hapo Dago. Sigwes na sigwesgusa.

ulidanganywo…

ti ukweli?

Mtura is the waste parts of cow carcass . Kichwa, miguu, huchemshwa. mwili, maini, roho, hupimwa kwa ratili. So what you are left with is the lungs, tits, pancreas… . But the majority of mtura meat comes from unborn calves after the mother has been slaughtered

Btw, @Wakanyama, Niko na mbegu na dem huko maguguini . Pureblood

1 Like

Shieeeeet!

True… Ask @Wakanyama… I prefer eating home made mtura lakini nikilewa mi hustukia nimekula

nyama ya calf inaitwa veal na iko sawa na very soft

2 Likes

kuna mathe alisema alibuiya mtoi wake iyo mutura. kidogo kidogo ati ‘mtoto arieda kwa choo alikua anahara oiro’

2 Likes