wakanyama project

Imekurudisha nyuma mangapi? Mjengo naskia siku hizi pesa inaenda kweli

Hapo sawa wakameat.
Haters, kitu gani ya maskini mshaikula ndio mtusi wenye mali?

1 Like

How many rooms dear for our house?

1 Like

Haters all over, mundu wa sub county kuja na Ile sword kubwa

1 Like

[SIZE=1]io pesa imetumika apo kuweka foundation, slab, kusimamisha mawe na kulipa fundi wengine wetu hatuwezi ona:D:D[/SIZE]

2 Likes

I want to personally congratulate you wakameat! Can we meet!!

2 Likes

Congratulations in order. Big up! Ukienda kununua mathirefu uniambie.

1 Like

done

Osiep chunya mathirefu ni nini?

Wakanyama huwa na ideas lakini he doesn’t know how to properly express himself…

1 Like

Hapo sawa. Congrats munene.

1 Like

Mudu wa buchare, congratulations kama sio nyumba ya jirani umepiga picha

Mathirefu is roofing tiles.

Oooh sawa… Tutaongea na @byro atuchoree plan ya yetu pia

Kwa kale kaploti ka Karen. :stuck_out_tongue:

Sio mingi,pesa ,finishing ndio hukula

mimi nitaweka mabati

2 Likes

Hehe. Ongea na @Twangapepeta upate zile za kupima kwa kilo

1 Like

Hako nikakukodesha,yako bae nitakujengea palatial mansion is

He he he,shida ya huyo jamaa imezidi

hmmm?

2 Likes