wakanyama project

Ukiwa na pesa nyumba humea kama mahindi

12 Likes

Mbisha ni muhimu ata kaa ni ya mahindi

6 Likes

[ATTACH=full]24866[/ATTACH]

11 Likes

Hiii chokosh inafanya kwa mjei

5 Likes

Hio mjengo ni yangu chokosh ya dandora

2 Likes

kama ni yako weka approvals za plans au sivyo wewe ni mkubwa wa workers

1 Like

Hii mawe haifanani na ile mbisha ya mawe ulikuwa umeeka…endelea kukoroga simiti…saa nane imefika saa ya kazi ni ii

hating on a nigger…

1 Like

Hii inakaa unapproved project. Piga site board picha.

Well in Wakameat! Endelea hivyo vivyo. …

1 Like

[quote=“Mathaais, post:9, topic:70926”]

Hii inakaa unapproved project. Piga site board picha.
[/QUOTE,mimi hapana tambua plans,I am bankrolling my project[/QUOTE]

1 Like

Good job.

Pia takataka wewe.

1 Like

Wanker meat congrats. 5000 stones zimemaliza gorofa kweli?

2 Likes

Naona mahali pesa za eurobond mukificha lakini hio mjengo inakaa ya kuanguka kama Ile ya kehonge.

1 Like

Hii nyumba inakaa tu kuanguka :frowning: :frowning:

hii sasa ni cow shed kabisa

3 Likes

Haiwezi anguka,bado plaster

@Wakanyama ako internship my masonry.

:D:D:D:D:D:D:D:D

3 Likes

Wakanyaks congrats. Hiyo ni ya kukaa ama ni ya kukombolisia?

1 Like