Wakameat contractors

3 Likes

Hizo nizakuongeza nyumba zingine in future

9 Likes

Wapi Exactly na naona Madirisha kwa hiyo ukuta? Ukiangalia the upper floors pia kuna Balconies.

Huyu ni @johntez_addi_gaza_ms ali overquote Machuma aibe.

3 Likes

Hakuwezi kosa ujanja na hawa local fundis. Nyumba itaongezwa ama balcony.

4 Likes

Hapa ni kazi ya grinder for one day. Wakameat Ako sawa

2 Likes

Future balcony …

Ni veranda to join with new block

Hizo sasa zimekuwa njia ya mwizi sugu mbakaji @johntez_addi_gaza_ms atatumia kupanda kuibia tenants wa upper floors.