Waititu is back

[MEDIA=twitter]1429098639838916608[/MEDIA]

Wakahare lost it kitambo, he is no longer relevant in politics

Never count out a man with nine lives

Huyu anajenga petro station kwa road reserve pale ruai. Uhunye atume sany ibomoeee.

Has he paid back the Kiambu monies yet?

he will still find an elective post. Never underestimate the Kenyan voter’s low IQ

Pet station gani hiyo?

I guess I overestimated Kenyan voter IQ

Hapo bypass hushinda na V8 hapo kila siku. I think hiyo ndio atatumia kulaunder pesa ya umma. Msenge yeye this time kiambu anaona moshi.

Hapo kwa junction ya kangundo rd n thika bypass kuna shell petro station. Oppsite ndio hii ghaseer iko na shamba ya kunyakua

Wakahare is mwizi kagwaro.
Haezi kua elected

Huyu ni jambazi sugu … Capable of anything. Can’t entirely rule him out.

Hio ghorofa iko hapo Muthaiga ‘riparian land’ ni yake?

I don’t like the guy buy how he bounces back after everyone thinks he is done is something I admire.

Waititu ana shida gani? Wenye mnasifu watu wa degrees wenye hawana leadership skills na mnatusi watu kama waititu wenye hawana masomo lakini iq yao iko juu na ndio imewafikisha hapo ndio mko na low iq.

Sasa kila mtu ashajua mkiona candidate ana degree na ni former employee wa company kubwa mnafikiria huyo ni kiongos, matapeli watajipanga ma masuti na degrees, mdanganyike kama kawaida, mtawaliwe na matapeli miaka ingine 100

This description fits jambazi sugu la mirambaa nne lenye misuli tikinya kutoka sugoi

Arror alikuwa alikua postgraduate student enzi za babake Raila Odinga. Yeye hajaenda shule sababu ya kiti.

Porojo

Inakaa uko na shida kubwa ya akili. I never said anything about his patently fake degree.

Waititu is a notorious landgrabber and a thief much like the same PHD fraud Dr Ruto that you support or Dr Kidero that beat him to the Nairobi Governor seat.

to pretend otherwise is trying to play stupid. Something you are an expert at.

Waititu is one of us. Society enye tunaishi ndio inaproduve hawa wezi, lakini mnajiona wazuri sana eti mnafaa kuwa governed na watu weupe kama pamba, kwani nyinyi ndio akina nani? Hamtaki kuchukua responsibly, mashida yote ya taifa mnawekelea wanasiasa kidogo, kumbe jamii enye mnaishi ndio imeoza.