wadau

Mimi huwa MTU biashara halali or otherwise, sasa kuna jamaa amekuja na Mali anataka kuzikinda,sasa problem imekujia hapa anaanza kusema dukani inauzwa hivi na yeye ataniuzia hivi ,imebidi nimuite humber ,kusema ukweli nimekosea?

semeji ongeza yeye ghasia na kofi mbili muoto

humber ni nini @Wakanyama??

Sasa mtu huwezaje Nunua mawe ya kuibiwa

shemeji niaje

ni mbwa

si napesa?

Hujakosea
[ATTACH=full]158474[/ATTACH]

Huyu anakula nyama mbichi kwani ni Ethiopian? :confused: