Wacha nipige survey

Nikama hawaja rudi
[ATTACH=full]488320[/ATTACH]

[ATTACH=full]488324[/ATTACH]

hii kitu niliapa sitawahi kunywa, heri ninumue quarter ya general meakings na soda ile ndogo lakini hii low budget guiness hapana. huwa inacause mwili uchungu na unanuka kama mtu hohehahe

Peasants bado wako shags

Wapi jaba?

Better than normal keg

si wewe ulikuwa mtu ya legend kwani what happened ilitoka market ama nini

Hii notion ya I drink kitu flani kama Haiko Wacha nikae sober. Ni upus. most people don’t know The cheaper the drink the higher the tolerance. Advantage ni hakuna kitu hawezi fagia

Jamaa wa wanchwani you just got my respect for keeping it real:Dtuma till nikubaiye kikombe

Hii ni chuom ya machokosh.

Yaani siku hizi fobe zinabugiwangwa na straw? Initially nilidhani ni keg pekee lakini naona hata Guinness iko kwa mix mbaya

Hio ni coca cola

Hii maisha hapana. Have some dignity elders.

Hapo ni Sophia Joy.
Angalau anza mwaka na VIP classic uwache hao machokora for later in the year

Mbwa.
Happy new year.
Mbwa

hiyo place si utaibiwa sana… very shady lokeshen.

enyewe @cortedivoire ni mtu bottom of the barrel kabisa

He keeps it real . Kuna nyangau hapa hujifanya billionaires na fake refurbished items but wanaishi Kama mafukara